Hahahaa, mzigo wa MNH nauelewa,tena maseniors watakuwa wamefurahi kwa kupata wasaidizi..Mkuu hamna hata simu ukiripoti huondoki unasubiri wenzio wote mnafanyiwa training hadi saiv tunaingia kiukweli siku sio nying make hadi tarehe unaambiwa ya kuanza so ukiripoti ndo umefika
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Wewe si uliamua kwenda ughaibuni bila hata kunipa lift na mimi nikaoshe macho huku, ni jinsi gani ulivyonitupa kiasi hicho[emoji3525][emoji38][emoji38][emoji38]mbona hunitafuti hata kuniulizia? Na no zangu umepoteza
Leo ndio nilikuwa nasubmit nyaraka, muda huu nipo kwenye gari narudi mjini kuja kusikilizia wayaVp usharipoti kazini mtumishi mwenzangu[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Pigeni kazi tunawategemea sana
Poapoa mkuu mi nahisi wote ni wa pale pale vp ushapewa pf nambaPigeni kazi tunawategemea sana
Ughaibuni ee[emoji38][emoji38]inshalllah tutarudi woteWewe si uliamua kwenda ughaibuni bila hata kunipa lift na mimi nikaoshe macho huku, ni jinsi gani ulivyonitupa kiasi hicho[emoji3525]
Mimi nipo hapa kama unavyoniona, nafurahi kuwa umerudi salama, karibu sana
Tumeambiwa tutapigiwa simu mambo yakikamilikaPoapoa mkuu mi nahisi wote ni wa pale pale vp ushapewa pf namba
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Sikilizia waya mkuuTumeambiwa tutapigiwa simu mambo yakikamilika
Ahaa wamesema siku ya kuripoti??Leo ndio nilikuwa nasubmit nyaraka, muda huu nipo kwenye gari narudi mjini kuja kusikilizia waya
Inategemeana na ratiba zao za oral, yanaweza kutoka hata siku ile ile.Ughaibuni ee[emoji38][emoji38]inshalllah tutarudi wote
Hivi utumishi majibu ya written wanatoaga baada ya siku ngap?
Watatupigia simuAhaa wamesema siku ya kuripoti??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ex-jobless mna moto sana, Hongereni kwa hii step wazee.
#Aluta continua
Ahaaa sawa kaka, wengine huu mwezi Sasa tunasubiria kupigiwa simuWatatupigia simu
Msg ipi hiyo kaka...Ohy mazaga one Ile messeji yako ni ya kweli.. So utapiga usaili wa Oral tu..?
Kwani yule aliyetuma sms humu majuzii kuwa inatoka PSRS akitaarifiwa kuwa kutakuwa na Usaili mmoja tu wa Oral kwenye kada yake, hukuwa wewe mkuu..?Msg ipi hiyo kaka...