mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hapana sikuwa Mimi kaka.Mimi sijasomea Yale mambo anayoenda kusailiwa yule mtumaji.Kwani yule aliyetuma sms majuzu kuwa inatoka PSRS akitaarifiwa kuwa kutakuwa na Usaili mmoja tu wa Oral kwenye kada yake, hukuwa wewe mkuu..?
Ohh kumbe basi nimechsnganya mafaili, kwahyo ni kesho au kesho kutwa ndo upo mzigoni..?Hapana sikuwa Mimi kaka.Mimi sijasomea Yale mambo anayoenda kusailiwa yule mtumaji.
Wiki lijalo kakaOhh kumbe basi nimechsnganya mafaili, kwahyo ni kesho au kesho kutwa ndo upo mzigoni..?
Sawa mkuu..Wiki lijalo kaka
naunga mkono hoja
Kwa maelezo niliyopata kutoka kwa mdau mmoja alisema.Ahaaa sawa kaka, wengine huu mwezi Sasa tunasubiria kupigiwa simu
Hapo taasisi/mwajiri ndio anazingua kwa kutofanya follow up haraka ili taratibu zikamilike.Ahaaa sawa kaka, wengine huu mwezi Sasa tunasubiria kupigiwa simu
Inaweza kuwa hivyo mkuu, tuishi kwenye hiyo nadharia kwanzaNaona tar 13 ndo imeisha hvyo bila placement.. Usikute barua zetu tayari zishaandaliwa huko kama alivyosema mkuu Mwifwa Ila mpaka kutangaza pdf ndo mwezi mmoja tena mbele..
Hebu tuendelee kusubiri..
Barua zetu tayari kabisa
Ahsante kwa muongozo, ushapeleka barua mkuu?Kwa maelezo niliyopata kutoka kwa mdau mmoja alisema.
Baada ya waajiriwa wapya wote kuripoti kazini mwajiri atachukua copy ya vyeti na kwenda kuvihakiki NECTA ili kuepusha mambo ya vyeti feki ambayo yalitokea kipindi cha nyuma.
Kwahiyo baada ya Siku 14/ wiki mbili mwajiri anapeleka vyeti NECTA kuhakiki. Kadri munavyokuwa wengi ndo zoezi la uhakiki linavyochukua muda (Yeye alisema uhakiki unaweza kuchukua wiki moja).
Baada hapo wanaanza kuingiza majina ya ajira mpya kwenye mfumo, kuanda check Namba na kupanga vituo vya kazi.
Ukiangalia hapo process zote hizo mpaka kukamilika inachukua muda sio chini ya mwezi.
Mtu anaweza kujiuliza kwanin wapeleke baada ya siku 14?
Barua ya kupangiwa kituo cha kazi inasema unatakiwa kuripoti ndani ya siku 14 kwahiyo wao wanasubiri wote mripoti ndo wapeleke vyeti vyote kwa pamoja.
Mkiripoti wote mapema zoezi la uhakiki linawahi zaidi.
Mdau huyo alisema mengi hapo nimejitahidi kusummarize.
Kuna watakaomaliza mwaka huu, mwaka kesho watakuwa wanauendeleza, yaan huu uzi na jobless ni pete na kidole[emoji3]Naamini huu uzi utakosa jobless ikifika 2024
Umeniwahi nilitaka kuandika hiki kitu😁Kuna watakaomaliza mwaka huu, mwaka kesho watakuwa wanauendeleza, yaan huu uzi na jobless ni pete na kidole[emoji3]
Tayari mkuuAhsante kwa muongozo, ushapeleka barua mkuu?
@mwifaFinally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Itabidi wafungue uzi mpya, huu ue uzi wa viwanja nyumba etc!Kuna watakaomaliza mwaka huu, mwaka kesho watakuwa wanauendeleza, yaan huu uzi na jobless ni pete na kidole[emoji3]
Tulijaza taarifa kwenye excel kama jina, degree, masomo, NIDA, namba ya bank, namba za simu, form four and six index number.Hapo taasisi/mwajiri ndio anazingua kwa kutofanya follow up haraka ili taratibu zikamilike.
Mlijaza doxc nyingi ambazo zinahitajika kujazwa sehemu/mamlaka nyingine pia?
Asante Kwa maelezoKwa maelezo niliyopata kutoka kwa mdau mmoja alisema.
Baada ya waajiriwa wapya wote kuripoti kazini mwajiri atachukua copy ya vyeti na kwenda kuvihakiki NECTA ili kuepusha mambo ya vyeti feki ambayo yalitokea kipindi cha nyuma.
Kwahiyo baada ya Siku 14/ wiki mbili mwajiri anapeleka vyeti NECTA kuhakiki. Kadri munavyokuwa wengi ndo zoezi la uhakiki linavyochukua muda (Yeye alisema uhakiki unaweza kuchukua wiki moja).
Baada hapo wanaanza kuingiza majina ya ajira mpya kwenye mfumo, kuanda check Namba na kupanga vituo vya kazi.
Ukiangalia hapo process zote hizo mpaka kukamilika inachukua muda sio chini ya mwezi.
Mtu anaweza kujiuliza kwanin wapeleke baada ya siku 14?
Barua ya kupangiwa kituo cha kazi inasema unatakiwa kuripoti ndani ya siku 14 kwahiyo wao wanasubiri wote mripoti ndo wapeleke vyeti vyote kwa pamoja.
Mkiripoti wote mapema zoezi la uhakiki linawahi zaidi.
Mdau huyo alisema mengi hapo nimejitahidi kusummarize.
Jobless wanaendelea kufyatuliwa kila mwaka, labda ambao tupo sasa hadi mwaka huo tutakuwa tumeisha au kubaki wachacheNaamini huu uzi utakosa jobless ikifika 2024
U made it u madeFinally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Pete na kidole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Kuna watakaomaliza mwaka huu, mwaka kesho watakuwa wanauendeleza, yaan huu uzi na jobless ni pete na kidole[emoji3]