Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ahaaa sawa kaka, wengine huu mwezi Sasa tunasubiria kupigiwa simu
Kwa maelezo niliyopata kutoka kwa mdau mmoja alisema.
Baada ya waajiriwa wapya wote kuripoti kazini mwajiri atachukua copy ya vyeti na kwenda kuvihakiki NECTA ili kuepusha mambo ya vyeti feki ambayo yalitokea kipindi cha nyuma.
Kwahiyo baada ya Siku 14/ wiki mbili mwajiri anapeleka vyeti NECTA kuhakiki. Kadri munavyokuwa wengi ndo zoezi la uhakiki linavyochukua muda (Yeye alisema uhakiki unaweza kuchukua wiki moja).
Baada hapo wanaanza kuingiza majina ya ajira mpya kwenye mfumo, kuanda check Namba na kupanga vituo vya kazi.
Ukiangalia hapo process zote hizo mpaka kukamilika inachukua muda sio chini ya mwezi.
Mtu anaweza kujiuliza kwanin wapeleke baada ya siku 14?
Barua ya kupangiwa kituo cha kazi inasema unatakiwa kuripoti ndani ya siku 14 kwahiyo wao wanasubiri wote mripoti ndo wapeleke vyeti vyote kwa pamoja.
Mkiripoti wote mapema zoezi la uhakiki linawahi zaidi.
Mdau huyo alisema mengi hapo nimejitahidi kusummarize.
 
Naona tar 13 ndo imeisha hvyo bila placement.. Usikute barua zetu tayari zishaandaliwa huko kama alivyosema mkuu Mwifwa Ila mpaka kutangaza pdf ndo mwezi mmoja tena mbele..
Hebu tuendelee kusubiri..
Barua zetu tayari kabisa
Inaweza kuwa hivyo mkuu, tuishi kwenye hiyo nadharia kwanza
 
Kwa maelezo niliyopata kutoka kwa mdau mmoja alisema.
Baada ya waajiriwa wapya wote kuripoti kazini mwajiri atachukua copy ya vyeti na kwenda kuvihakiki NECTA ili kuepusha mambo ya vyeti feki ambayo yalitokea kipindi cha nyuma.
Kwahiyo baada ya Siku 14/ wiki mbili mwajiri anapeleka vyeti NECTA kuhakiki. Kadri munavyokuwa wengi ndo zoezi la uhakiki linavyochukua muda (Yeye alisema uhakiki unaweza kuchukua wiki moja).
Baada hapo wanaanza kuingiza majina ya ajira mpya kwenye mfumo, kuanda check Namba na kupanga vituo vya kazi.
Ukiangalia hapo process zote hizo mpaka kukamilika inachukua muda sio chini ya mwezi.
Mtu anaweza kujiuliza kwanin wapeleke baada ya siku 14?
Barua ya kupangiwa kituo cha kazi inasema unatakiwa kuripoti ndani ya siku 14 kwahiyo wao wanasubiri wote mripoti ndo wapeleke vyeti vyote kwa pamoja.
Mkiripoti wote mapema zoezi la uhakiki linawahi zaidi.
Mdau huyo alisema mengi hapo nimejitahidi kusummarize.
Ahsante kwa muongozo, ushapeleka barua mkuu?
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
@mwifa

Nilikuambia my brother kua mwaka huu june haitafika na utakua umeshalamba asali tayari.

Umepambana sana mzee,so you deserve it.

Tunategemea uende ukawe mtumishi mwema.

Pia tunategemea kua hautawaambia vijana kua wanabweteka na wajiajiri.

Congratulations once again fella.[emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo taasisi/mwajiri ndio anazingua kwa kutofanya follow up haraka ili taratibu zikamilike.

Mlijaza doxc nyingi ambazo zinahitajika kujazwa sehemu/mamlaka nyingine pia?
Tulijaza taarifa kwenye excel kama jina, degree, masomo, NIDA, namba ya bank, namba za simu, form four and six index number.

Pia tukaacha copy mbili za kila cheti na wakascan vyeti vyote.
 
Kwa maelezo niliyopata kutoka kwa mdau mmoja alisema.
Baada ya waajiriwa wapya wote kuripoti kazini mwajiri atachukua copy ya vyeti na kwenda kuvihakiki NECTA ili kuepusha mambo ya vyeti feki ambayo yalitokea kipindi cha nyuma.
Kwahiyo baada ya Siku 14/ wiki mbili mwajiri anapeleka vyeti NECTA kuhakiki. Kadri munavyokuwa wengi ndo zoezi la uhakiki linavyochukua muda (Yeye alisema uhakiki unaweza kuchukua wiki moja).
Baada hapo wanaanza kuingiza majina ya ajira mpya kwenye mfumo, kuanda check Namba na kupanga vituo vya kazi.
Ukiangalia hapo process zote hizo mpaka kukamilika inachukua muda sio chini ya mwezi.
Mtu anaweza kujiuliza kwanin wapeleke baada ya siku 14?
Barua ya kupangiwa kituo cha kazi inasema unatakiwa kuripoti ndani ya siku 14 kwahiyo wao wanasubiri wote mripoti ndo wapeleke vyeti vyote kwa pamoja.
Mkiripoti wote mapema zoezi la uhakiki linawahi zaidi.
Mdau huyo alisema mengi hapo nimejitahidi kusummarize.
Asante Kwa maelezo
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
U made it u made
Congratulations ....keep bring to us madini don't left us
 
Back
Top Bottom