Hapana kwa kweli.Leo ulikuwa kwenye mkando tena..?
Nimeipata, ila ilinisumbua kwa mwezi mzima, hata kuripoti kwa mwajiri mimi nimekuwa wa mwisho na naonekana nimechelewa sana kuripoti.Aje atupe mrejesho aisee, nilisahau hili sakata
Vipi, ni Ndoige kali sana?Leo paper la accounts officer ii sijui utumishi wana lengo gani na ile paper.
Poleni Sana.Vipi ngoma ngumu au haijawa upande wako tu???Leo paper la accounts officer ii sijui utumishi wana lengo gani na ile paper.
1. Elements za financial statementsVipi, ni Ndoige kali sana?
Hongera sana na pole pia kwa usumbufu. Namna hiyo ndivyo tunavyopaswa kupigania haki unayoona inaminywa.Kaka, nilizungushwa takriban mwezi mzima, hatimaye nimeipata juzi.
Utamueleza mwajiri hilo sakata, atakuelewa na kukupokeaNimeipata, ila ilinisumbua kwa mwezi mzima, hata kuripoti kwa mwajiri mimi nimekuwa wa mwisho na naonekana nimechelewa sana kuripoti.
Wametia nuts za ukweli sana?Leo paper la accounts officer ii sijui utumishi wana lengo gani na ile paper.
Sema Kuna viswali apo vinachanganya..... Uki plus na muda1. Elements za financial statements
2. Wakakupa transactions useme ni debit au credit (transactions sita) a to e
3. Difference btn closing stock na single entry system
4. Differences kati ya Journal na ledger in terms of a)Nature b) Balance c) Recording
Ila freshers hii pepa naona watubutuaSema Kuna viswali apo vinachanganya..... Uki plus na muda
Kumbe pepa ilikua ya kwenda..sio ngumu1. Elements za financial statements
2. Wakakupa transactions useme ni debit au credit (transactions sita) a to e
3. Difference btn closing stock na single entry system
4. Differences kati ya Journal na ledger in terms of a)Nature b) Balance c) Recording
umeikimbia pepa mkuu, sasa hpo utakuta passmark nikuanzia 90, si kwa ubaya lkn utumishi itabidi waweke marks ambazo mtu akifikisha basi atinge oral , sio kma saiz wanajiamulia tu, hii inavunja mioyo watafutaji wengiKumbe pepa ilikua ya kwenda..sio ngumu
Hapana,mtihani ulikua simple sana mkuu,nimeshindwa kuelewa intention yao ni nini.ila ngoja tuone majibu watayatoajeWametia nuts za ukweli sana?
Ilikua rahisi tuPoleni Sana.Vipi ngoma ngumu au haijawa upande wako tu???
Hilo swali la kwanza huenda likachanganya watu sana..lilihitaji kutuliza akili sana1. Elements za financial statements
2. Wakakupa transactions useme ni debit au credit (transactions sita) a to e
3. Difference btn closing stock na single entry system
4. Differences kati ya Journal na ledger in terms of a)Nature b) Balance c) Recording
Wamhutaji watu weng ukiona hivyoHapana,mtihani ulikua simple sana mkuu,nimeshindwa kuelewa intention yao ni nini.ila ngoja tuone majibu watayatoaje
Ngoja tuoneWamhutaji watu weng ukiona hivyo