Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

tayari nenda
Na hili la kupanga range kubwa ya tarehe ya written na oral nalo ni kichomi.

Imagine tumepiga written jana, oral itakuwa J4. Ingawa walisema matokeo leo ila hawatabiriki unaweza kuta wameyatoa kesho, tena usiku mnene.
kaone
 
Hahaha
Hahaha ns vijana kylinda cjui kawateks
 
Wahasibu kuna nafasi 1 imepanda hewani kule Wizara ya Tozo na Mipango, changamkieni mrija.

Madereva pia neema ya mirija 67 kule RUWASA, kazi kwenu
Madereva ni mkataba...zinakela tu maana unapambana unapata kazi mkataba ukiisha unaanza tena trip za kutoka kwenu kwenda CIVE UDOM
 

Hahaha, ni kweli kabisa Mkuu.
 

Hahaha, jamaa wa Kalynda anapambana sana kwenye biashara yake. Naamini atatokea peupe zaidi.
 
Nimeona wame update, mimi ambazo nilikuwa shortlisted na sikufika oral, wameniandikia Not Selected for Oral Interview halafu namba ya mtihani washafuta
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mie nasema nikipata chance Sasa Nipate hata connection iliyolegea legea next time Kama Kuna mtoto wangu apate hata kazi ya kufangia Huku ofisini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
umeaua mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…