Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

tayari nenda
Na hili la kupanga range kubwa ya tarehe ya written na oral nalo ni kichomi.

Imagine tumepiga written jana, oral itakuwa J4. Ingawa walisema matokeo leo ila hawatabiriki unaweza kuta wameyatoa kesho, tena usiku mnene.
kaone
 
Hahaha
Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha ns vijana kylinda cjui kawateks
 
Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]

Hahaha, ni kweli kabisa Mkuu.
 
Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]

Hahaha, jamaa wa Kalynda anapambana sana kwenye biashara yake. Naamini atatokea peupe zaidi.
 
Mkuu sijui inakuaje na umenikumbusha nimeenda kwenye account yangu nimekuta Kuna kitu cha ajabu sana nimekuta SHORTLISTED pekee hakuna cha namba Wala nn hapo nishakandwa Sasa mpka namba ya pepa wamefuta wakati Kuna kazi nyingine nishafanya interview ila ipo selected for oral
Nimeona wame update, mimi ambazo nilikuwa shortlisted na sikufika oral, wameniandikia Not Selected for Oral Interview halafu namba ya mtihani washafuta
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mie nasema nikipata chance Sasa Nipate hata connection iliyolegea legea next time Kama Kuna mtoto wangu apate hata kazi ya kufangia Huku ofisini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
umeaua mkuu
 
Back
Top Bottom