meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Noma sana sikuwahi kushuhudia hiyo kwenye account aisee nikajua nishakandwa hapa 😂😂Ulijua umeshakandwa mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana sikuwahi kushuhudia hiyo kwenye account aisee nikajua nishakandwa hapa 😂😂Ulijua umeshakandwa mkuu?
Amna inakuwaga hivyo tu mtandao ukiyumba au kama wanaupload pdf inakuwaga inabadilika badilikaNoma sana sikuwahi kushuhudia hiyo kwenye account aisee nikajua nishakandwa hapa 😂😂
Kweli tuombeane tu mungu atasaidia hatuna connectionTuombeane heri tu wakuu tupate wote
😂😂😂😂aseeeh nimeamini kwenye maisha connection ni muhimu sanaaaaKweli tuombeane tu mungu atasaidia hatuna connection
😂😂😂 Mie nasema nikipata chance Sasa Nipate hata connection iliyolegea legea next time Kama Kuna mtoto wangu apate hata kazi ya kufangia Huku ofisini😂😂😂😂aseeeh nimeamini kwenye maisha connection ni muhimu sanaaaa
😂😂😂😂Ukipata nafasi usikubali kizazi chako kiteseke aseeh😂😂😂 Mie nasema nikipata chance Sasa Nipate hata connection iliyolegea legea next time Kama Kuna mtoto wangu apate hata kazi ya kufangia Huku ofisini
kaoneNa hili la kupanga range kubwa ya tarehe ya written na oral nalo ni kichomi.
Imagine tumepiga written jana, oral itakuwa J4. Ingawa walisema matokeo leo ila hawatabiriki unaweza kuta wameyatoa kesho, tena usiku mnene.
Shortlisted interview noJamani mlipata mlija wa asali kwe Account zenu zimeandikaje kule
Hahaha ns vijana kylinda cjui kawateksHuyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]
Na interview number wanakuwekea
Madereva ni mkataba...zinakela tu maana unapambana unapata kazi mkataba ukiisha unaanza tena trip za kutoka kwenu kwenda CIVE UDOMWahasibu kuna nafasi 1 imepanda hewani kule Wizara ya Tozo na Mipango, changamkieni mrija.
Madereva pia neema ya mirija 67 kule RUWASA, kazi kwenu
Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]
Huyu mdau Seneta Wa Mtwiz kasema hapo juu, unaweza kukuta tayari kashapata barua na cheque no na salary ya Septemba huenda kashainyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye vitu ambavyo mbongo lazima amuingize nduguye ni huku kwenye miraja ya Asali akiwa na access ya kufanya hivyo, ila huwezi kumuona mbongo akamuingiza nduguye kwenye online business kama hii Kalynda inayotrend hapa jukwaa letu[emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeona wame update, mimi ambazo nilikuwa shortlisted na sikufika oral, wameniandikia Not Selected for Oral Interview halafu namba ya mtihani washafutaMkuu sijui inakuaje na umenikumbusha nimeenda kwenye account yangu nimekuta Kuna kitu cha ajabu sana nimekuta SHORTLISTED pekee hakuna cha namba Wala nn hapo nishakandwa Sasa mpka namba ya pepa wamefuta wakati Kuna kazi nyingine nishafanya interview ila ipo selected for oral
Nishakandwa na kukatiwa tiketi ndugu yangu, leo nitakuwa road kurudi nyumbani.Round hii mkuu unatoboa jiandae tu kuchukua barua ya kazi mkuu[emoji120]
Aiseh pole Sana kk safari bado inaendelea, ni kada ipi uko kwaniNishakandwa na kukatiwa tiketi ndugu yangu, leo nitakuwa road kurudi nyumbani.
Written 3, sijafika oral hata moja, bad and poor performance.
Written ya 3 nimeimprove ingawa cut off hazijafika, nimekosa marks 3
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Mie nasema nikipata chance Sasa Nipate hata connection iliyolegea legea next time Kama Kuna mtoto wangu apate hata kazi ya kufangia Huku ofisini
Sio mbaya unapa vijisenti vya kusogezea sikuMadereva ni mkataba...zinakela tu maana unapambana unapata kazi mkataba ukiisha unaanza tena trip za kutoka kwenu kwenda CIVE UDOM