mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Noted afsaMkuu utumishi hawajiamulii tu wanafuata kanuni zinazowaongoza .Soma kanuni hizo utajifunza kitu. Nafasi moja inahitaji watu watu wa oral.
Mara nyingi paper rahisi zinasumbua sana unakuta mtu amefaulu lakini kaachwa kwa sababu ya uchache wa nafasi.
Tuliwahi kupiga paper moja hivi jamaa yangu alikuwa na 72 akaachwa walichukua mwisho 74 .
Tangia siku ile nikawa naomba bora nikutane na paper jiwe kuliko nyepesi.
daah sawa mkuuWanachokiangalia cha kwanza ni nafasi zilizopo/zinazogombaniwa.
Kwenye oral kila nafasi inabidi igombaniwe na watu 3 au 4 hata 5, pia wanaweza kufika hadi 6.
Sasa mkipata alama zaidi ya 80 watu wengi halafu nafasi zilizopo ni 4, watakaoingia oral ni 12 hadi 24.
Jalia watu 24 ndio wamepata alama zaidi ya 80, kwa hiyo panga lazima likatie huko juu. Wengine mliopata chini ya 80 mnaachwa.
Kanuni zao zimeelezea hii ishu ya selected for oral
Bora umehisi mapema ili upunguze matarajio, kwani ikitokea umeshindwa kusonga mbele na mtihan ulikuwa mwpesi kwako, huwa inaumiza sana.Nami nimehis harufu ya kitu..nakumbuka ile ya heslb kuna wadau hawana hamu nayo hadi leo
Kwenye hili jukwaa, sote ni ndugu, marafiki, dada, kaka nk kwa sababu tupo pamoja na lengo letu ni moja.Mbona hatujawahi kuwa marafiki?
Dahumeikimbia pepa mkuu, sasa hpo utakuta passmark nikuanzia 90, si kwa ubaya lkn utumishi itabidi waweke marks ambazo mtu akifikisha basi atinge oral , sio kma saiz wanajiamulia tu, hii inavunja mioyo watafutaji wengi
Jamaa niliyemjibu tulishawahi kuzinguana ndio maana nimemjibu hivyo mkuu.K
Kwenye hili jukwaa, sote ni ndugu, marafiki, dada, kaka nk kwa sababu tupo pamoja na lengo letu ni moja.
Ndio maana member akifaulu au kupata kazi tunapongezana utafikiri tumewahi kuishi pamoja.
Tukae Kwa kutulia tungoje hayo Matokeo yatakavyokuwa tu[emoji16]Nami nimehis harufu ya kitu..nakumbuka ile ya heslb kuna wadau hawana hamu nayo hadi leo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mbona hatujawahi kuwa marafiki?
Mkuu unaweza share process gani ulifuata mpaka kuipata?...itasaidia kwa wengine watakao pata changamoto kama hio.Nimeipata, ila ilinisumbua kwa mwezi mzima, hata kuripoti kwa mwajiri mimi nimekuwa wa mwisho na naonekana nimechelewa sana kuripoti.
Maswali ya form 2 haya kabisa ...nimesoma bookkeeping kitambo sana olevel huko na wala mimi si fani yangu kwa sasa, ila ilo pepa naweza kujibu. Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.1. Elements za financial statements
2. Wakakupa transactions useme ni debit au credit (transactions sita) a to e
3. Difference btn closing stock na single entry system
4. Differences kati ya Journal na ledger in terms of a)Nature b) Balance c) Recording
Ubay wa pepa nyepes ctting point inakua juu inabidi upige kiswa sawa hawachelw kukatia 80 hukoMaswali ya form 2 haya kabisa ...nimesoma bookkeeping kitambo sana olevel huko na wala mimi si fani yangu kwa sasa, ila ilo pepa naweza kujibu. Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.
Skillz za kujibu mtihani ni sehem muhimu ya mtihani.Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.
VeryyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyK
Kwenye hili jukwaa, sote ni ndugu, marafiki, dada, kaka nk kwa sababu tupo pamoja na lengo letu ni moja.
Ndio maana member akifaulu au kupata kazi tunapongezana utafikiri tumewahi kuishi pamoja.
Tatizo wenye account (sio wote) walisoma standards, madepreciation IFRS na maconsolidation.Maswali ya form 2 haya kabisa ...nimesoma bookkeeping kitambo sana olevel huko na wala mimi si fani yangu kwa sasa, ila ilo pepa naweza kujibu. Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.
🤠🤠Tatizo wenye account (sio wote) walisoma standards, madepreciation IFRS na maconsolidation.
Alisikika mtu akisema hivyo sio mm[emoji16]
Tupia maswali tuone[emoji848]Kwa hili paper la Mchumi Daraja la pili Mungu atusaidie kwa kweli duuuuh [emoji3064]