Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu utumishi hawajiamulii tu wanafuata kanuni zinazowaongoza .Soma kanuni hizo utajifunza kitu. Nafasi moja inahitaji watu watu wa oral.
Mara nyingi paper rahisi zinasumbua sana unakuta mtu amefaulu lakini kaachwa kwa sababu ya uchache wa nafasi.
Tuliwahi kupiga paper moja hivi jamaa yangu alikuwa na 72 akaachwa walichukua mwisho 74 .
Tangia siku ile nikawa naomba bora nikutane na paper jiwe kuliko nyepesi.
Noted afsa
 
Wanachokiangalia cha kwanza ni nafasi zilizopo/zinazogombaniwa.

Kwenye oral kila nafasi inabidi igombaniwe na watu 3 au 4 hata 5, pia wanaweza kufika hadi 6.

Sasa mkipata alama zaidi ya 80 watu wengi halafu nafasi zilizopo ni 4, watakaoingia oral ni 12 hadi 24.

Jalia watu 24 ndio wamepata alama zaidi ya 80, kwa hiyo panga lazima likatie huko juu. Wengine mliopata chini ya 80 mnaachwa.

Kanuni zao zimeelezea hii ishu ya selected for oral
daah sawa mkuu
 
1. Elements za financial statements
2. Wakakupa transactions useme ni debit au credit (transactions sita) a to e
3. Difference btn closing stock na single entry system
4. Differences kati ya Journal na ledger in terms of a)Nature b) Balance c) Recording
Maswali ya form 2 haya kabisa ...nimesoma bookkeeping kitambo sana olevel huko na wala mimi si fani yangu kwa sasa, ila ilo pepa naweza kujibu. Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.
 
Maswali ya form 2 haya kabisa ...nimesoma bookkeeping kitambo sana olevel huko na wala mimi si fani yangu kwa sasa, ila ilo pepa naweza kujibu. Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.
Ubay wa pepa nyepes ctting point inakua juu inabidi upige kiswa sawa hawachelw kukatia 80 huko
 
K

Kwenye hili jukwaa, sote ni ndugu, marafiki, dada, kaka nk kwa sababu tupo pamoja na lengo letu ni moja.

Ndio maana member akifaulu au kupata kazi tunapongezana utafikiri tumewahi kuishi pamoja.
Veryyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy

Gooooooooooooooooooooooooooooooodd

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Maswali ya form 2 haya kabisa ...nimesoma bookkeeping kitambo sana olevel huko na wala mimi si fani yangu kwa sasa, ila ilo pepa naweza kujibu. Kwa mtu mwenye degree ya accounting hili pepa ni jepesi mno, labda ashindwe skills za namna ya kujibu mtihani tu.
Tatizo wenye account (sio wote) walisoma standards, madepreciation IFRS na maconsolidation.

Alisikika mtu akisema hivyo sio mm[emoji16]
 
[emoji28][emoji28]
 

Attachments

  • IMG_1338.jpg
    IMG_1338.jpg
    1.1 MB · Views: 18
Back
Top Bottom