mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Noted afsaMkuu utumishi hawajiamulii tu wanafuata kanuni zinazowaongoza .Soma kanuni hizo utajifunza kitu. Nafasi moja inahitaji watu watu wa oral.
Mara nyingi paper rahisi zinasumbua sana unakuta mtu amefaulu lakini kaachwa kwa sababu ya uchache wa nafasi.
Tuliwahi kupiga paper moja hivi jamaa yangu alikuwa na 72 akaachwa walichukua mwisho 74 .
Tangia siku ile nikawa naomba bora nikutane na paper jiwe kuliko nyepesi.