Aziz Ki Mayele
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 899
- 1,955
Hii ni doc nimekuletea kutoka IFACNimeshangaa mnoo kujiita IFRS, ilhali ni debe tupu
Sasa kwa uelewa huo kakaa utafanya kazi ya uhasibu upi? Hiyo doc imejieleza, complete set of financial statements coprises of; ...Nimekwambia acha kuzunguka
Leta hapa kutoka kwenye PDF hii official ya IAS uquote kama mimi nilivyoquote kwenye PDF ya IFAC
Naomba uelewe "Complete set of financial statement" is not the same na "elements of financial statement"View attachment 2481446
Hatubishani, ni shule pia tunataka tufikie muafaka, it goes beyond usahiliWasomi bwana,naona mnabishana kwenye vitu ambavyo wasahihishaji ndio wanajua Majibu sahihi,Kazi ni Moja tu,piga paper Tulia Omba Mungu mengine waachie wao wanaandika SELECTED or NOT SELECTED....
Nimekuletea pdf hiyo . . Ipitie kabla ya kumtusi mwalimu wangu, pemgine ndo huyo huyo mwalimu aliyekifundisha weweSasa kwa uelewa huo kakaa utafanya kazi ya uhasibu upi? Hiyo doc imejieleza, complete set of financial statements coprises of; ...
Mwalimu wenu akawafundisha, complete set of financial statements comprises of five components.
Nikakueleza, kuna wanaotumia components wengine elements, bado maana ni ile ile.
Bado tena hujaelewa? Kama lugha inakupiga chenga, utaweza nini?
Ngoja tuone ila mimi niwe mkweli tu nilizishuka zile Revenue,Assets,Liabilities, Equity and Expense.so kama nimeenda chaka ndio hivyo nishaaga mashindano1. Statement of financial position as at the end date of period.
2. Statement of financial perfomance and other comrehensive income for the period.
3. Statement of cash flow for the period.
4. Statement of changes in net equity for the period.
5. Notes to the financial statement comprising significant accounting policies and other explanatory information.
Sawa kaka nakupata hiyo imejieleza "complete set of financial statements comprises of ..Sasa kwa uelewa huo kakaa utafanya kazi ya uhasibu upi? Hiyo doc imejieleza, complete set of financial statements coprises of; ...
Mwalimu wenu akawafundisha, complete set of financial statements comprises of five components.
Nikakueleza, kuna wanaotumia components wengine elements, bado maana ni ile ile.
Bado tena hujaelewa? Kama lugha inakupiga chenga, utaweza nini?
pole sana bossNgoja tuone ila mimi niwe mkweli tu nilizishuka zile Revenue,Assets,Liabilities, Equity and Expense.so kama nimeenda chaka ndio hivyo nishaaga mashindano
Kwamba nimekosa mkuu?pole sana boss
Acha kumtishapole sana boss
Soma para .010 kwa utulivu wamezungumzia fs inahusu nini hasa.Nimekuletea pdf hiyo . . Ipitie kabla ya kumtusi mwalimu wangu, pemgine ndo huyo huyo mwalimu aliyekifundisha wewe
Bado yapo maswali mengine, hilo pepa limetulia kwa maana jamaa alitunga sehem ambapo majority hawatazisoma, wataruka tu kurasa.Kwamba nimekosa mkuu?
Ila sio mbaya, nimefanya utalii wa ndani Dodoma leo
Acha kumtisha
Nakusubiri useme IFAC wamekosea ili nilale nikijua imekula kwangu
Mkuu,huenda wewe ndiye mtunzi mwenyewe wa hiyo paper, maana unashuka madude hadi sio poaBado yapo maswali mengine, hilo pepa limetulia kwa maana jamaa alitunga sehem ambapo majority hawatazisoma, wataruka tu kurasa.
Kumbuka, tunapozungumzia Financial statements tunazungumzia IAS 1; Presentation of financial statements.Sawa kaka nakupata hiyo imejieleza "complete set of financial statements comprises of ..
Lakini kuna nyingine imekwenda straight bila kuacha swali, "elements of financial statements"
Sasa swali limekuja straight utaje elements .. How do you go about that?
Mie sio, ilikua nipige internal auditor, sikutokea tu kwa sababu moja mbili, accounting n financial reporting ni kitu nachokipenda, nasoma sana standard na vitabu niwe tu updated.Mkuu,huenda wewe ndiye mtunzi mwenyewe wa hiyo paper, maana unashuka madude hadi sio poa
Ooh..hongeraMie sio, ilikua nipige internal auditor, sikutokea tu kwa sababu moja mbili, accounting n financial reporting ni kitu nachokipenda, nasoma sana standard na vitabu niwe tu updated.
Kama ndio hizo mbona zinafika 10 sasa? Hizi tunaziweke katika elements 5.Ngoja tuone ila mimi niwe mkweli tu nilizishuka zile Revenue,Assets,Liabilities, Equity and Expense.so kama nimeenda chaka ndio hivyo nishaaga mashindano
Ila swali halikusema uandike 5 au 10 mkuuKama ndio hizo mbona zinafika 10 sasa? Hizi tunaziweke katika elements 5.
1. Income statements/Comprehensive income hapa utasema itaundwa na vitu kama
Revenue/income, expenses etc.
2. Balance Sheet/ Financial Position kwenye maelezo yako utasema ndani ya hii element utarekodi vitu kama Assets, Liability, Equity/Capital.
3. Cash Flow hapa kwenye maelezo utasema tunaweka vitu kama cash revenue nk
4. Changes in Equity hapa wakati unatoa maelezo utasema humu ndani utakutana na vitu kama income other than from investments nk
Nk nk nk nk nk...
Hivyo ndivyo inatakiwa kufanyika. Huwezi kusema hizo ni Elements za Financial statements with silence. Elements 5 ni hizo hapo juu.
Hizi unazotaja utazikuta hata 10 na zaidi. Mfano wewe LOSSES na GAIN utasema sio element kwa muktadha huo?
Unapoelezea hizo elements wewe elezea hizo 5 nilizoweka then hayo madudu yako utayagawanja according to hizo elements za msingi.
Sijui kama nimeeleza ambacho utapata picha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ndio maana namuelekeza anayekomaa na hizo 5. Binafsi nikuombeeni kwa Mungu wote mpate kwa kadiri ya mlivyojibu.Ila swali halikusema uandike 5 au 10 mkuu
Umefafanua vizuri kabisa, kila element/component inakua na item zake, na zinakua presented namna gani (lay-out)Kama ndio hizo mbona zinafika 10 sasa? Hizi tunaziweke katika elements 5.
1. Income statements/Comprehensive income hapa utasema itaundwa na vitu kama
Revenue/income, expenses etc.
2. Balance Sheet/ Financial Position kwenye maelezo yako utasema ndani ya hii element utarekodi vitu kama Assets, Liability, Equity/Capital.
3. Cash Flow hapa kwenye maelezo utasema tunaweka vitu kama cash revenue nk
4. Changes in Equity hapa wakati unatoa maelezo utasema humu ndani utakutana na vitu kama income other than from investments nk
Nk nk nk nk nk...
Hivyo ndivyo inatakiwa kufanyika. Huwezi kusema hizo ni Elements za Financial statements with silence. Elements 5 ni hizo hapo juu.
Hizi unazotaja utazikuta hata 10 na zaidi. Mfano wewe LOSSES na GAIN utasema sio element kwa muktadha huo?
Unapoelezea hizo elements wewe elezea hizo 5 nilizoweka then hayo madudu yako utayagawanja according to hizo elements za msingi.
Sijui kama nimeeleza ambacho utapata picha.