Good things happen when you least expect them.mazaga one kwanza hizi status zenyewe ni Kisanga tu.. watu wako na wiki 6 toka Usaili Ila mbona hazijabadilika chochote.. hazieleweki tu bhna..
Kama unasema Subiri pdf
Kwa nn hawaruhusiwi?una hakika na unaloongea mzee?Atakwama mbele maana wakiingiza jina kwa system watagundua tayari ni mtumishi wa umma na huruhusiwi kuomba kazi ya level ile ile .
Wao wanatakiwa wawe na barua ya mwajiri sio kwmba hawaruhusiwi kuomba kz inservice kibao tunafnya nao usailiKwa nn hawaruhusiwi?una hakika na unaloongea mzee?
[emoji25]Huu uzi naomba kila jobless aupitie
Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni
Habarini ndugu wana JamiiForums, Hivi kiwanda cha Bakharesa pale Buguruni ni uhakika kupata kazi ya kibarua ukiwa na barua ya utambulisho wa makazi? Na hivi wanalipa kwa siku au wiki?www.jamiiforums.com
Kwamba boss wangu iko hivi?Ndio hivyo mkuu.
Sikuwahi kujisumbua kuangalia status baada ya Oral hadi siku placement ilipotoka ndio nikaangalia nikakuta imeandikwa SELECTED FOR ORAL INTERVIEW, pia ile namba ya written ikawa bado inaonekana pale.
iyo ni kwenye web. je kwenye application yao iliandikaje?Ndio hivyo mkuu.
Sikuwahi kujisumbua kuangalia status baada ya Oral hadi siku placement ilipotoka ndio nikaangalia nikakuta imeandikwa SELECTED FOR ORAL INTERVIEW, pia ile namba ya written ikawa bado inaonekana pale.
iyo ni kwenye web. je kwenye application yao iliandikaje?
je ikiwa selected for ya kijani?Ikiwa selected for null ndio mkando [emoji23][emoji23][emoji1316][emoji1316]
-waliobaki ni Legal officers tu wa m,d,a,lgaUna uhakika placement za October hazijaisha upande wa kada ya Law? Wakati washabandika Mara mbili tarehe 06 na 10 kwa MDA &LGA
Ikiwa selected for null ndio mkando [emoji23][emoji23][emoji1316][emoji1316]
Hongera brotherHabari za leo Wakuu.
Jana niliahidi kuleta mrejesho.
Nilifanya written Interview nane ,saba zote sikufika hata oral zote nilikuwa napata namba za viatu , yanane nikafika oral na ndo hii niliyopata placement.
Nilingia kwenye chumba cha wakandaji nikiwa nimevaa kadeti, shati na koti langu vizuri kabisa. Nilipoingia tu ndani nikawasalimia wakandaji wakaitikia then mmoja akasema karibu kiti.
Nilitumia muda mfupi sana nimetoka wadau wanashangaa mbona mapema sana nadhani walijua nimefukuzwa mle ndani😂😂
Baada ya hapo nilijiona mjinga sana maana nimeshindwa kujibu swali moja. Hamu ya kula ilikata kabisa niliona kama nimepoteza nafasi lakin Mungu ndo alijua.
Nimejifunza ili ufanikiwe lazima upite mambo magumu( Rejea wimbo wa Christina Shusho-Dhahabu)
1. Usikate tamaa jipe moyo ipo siku utatoboa bahati huwapata wale wanaojaribu.
2. Ukiitwa kwenye usaili fanya maandalizi haswa. Piga msuli yatima haswa pitia job descriptions zifuatilie moja baada ya nyingine. Saili nyingi za nyuma nilikuwa sijindai vizuri pia nilikuwa sifuatili trends za maswali. Unakuta unasoma research kumbe wameshaacha kutoa research.
3. Omba Mungu yeye ndo anajua ni lini atakupa.
4. Usibanduke kwenye huu Uzi. Jamii forums ni kila kitu imagine nimeanza kufuatilia huu uzi mwezi wa 10 nikapata hints kibao nikafufua matumani , mwezi wa 10 huo huo nikatoboa oral kwa mara ya kwanza. Hata uwe kipanga au kenge namna gani bila kujua trends na namna ya kujibu maswali kutoboa ningumu.
Natoa shukrani zangu za dhati kwa wadau wote wa uzi huu (Mwifa, Wizy a.k.a Wkingz mzee wa status😂😂 na wengine wote) kwa michango yenu .
N.B: Mtoto wa masikini kabisa ametoboa bila connection acha kulalamika inawezekana.
Nilivyofurahi mimi wife amefurahi mara 10 yake🤣🤣🤣
Hii ya Kusema kibao ni uongo..Wao wanatakiwa wawe na barua ya mwajiri sio kwmba hawaruhusiwi kuomba kz inservice kibao tunafnya nao usaili
Wa TRA?Hv saili za Madereva zimeisha..?
Ni huzuni[emoji22]Huu uzi naomba kila jobless aupitie
Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni
Habarini ndugu wana JamiiForums, Hivi kiwanda cha Bakharesa pale Buguruni ni uhakika kupata kazi ya kibarua ukiwa na barua ya utambulisho wa makazi? Na hivi wanalipa kwa siku au wiki?www.jamiiforums.com
Hazifunguki labda elekeza tovuti ulipozitoa tukacheki hukoWakati huo wapambanaji mkijua ofisi zenu zitakapokua. Mungu atubariki sana.
View attachment 2484512
View attachment 2484513
View attachment 2484514
View attachment 2484515