Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ndio hivyo mkuu.

Sikuwahi kujisumbua kuangalia status baada ya Oral hadi siku placement ilipotoka ndio nikaangalia nikakuta imeandikwa SELECTED FOR ORAL INTERVIEW, pia ile namba ya written ikawa bado inaonekana pale.
iyo ni kwenye web. je kwenye application yao iliandikaje?
 
Hongera brother
 
Wao wanatakiwa wawe na barua ya mwajiri sio kwmba hawaruhusiwi kuomba kz inservice kibao tunafnya nao usaili
Hii ya Kusema kibao ni uongo..
Me naamini in-service ambao wanaomba kazi psrs Huwa wako tu interested na taasisi husika au kufuata maslahi kimtindo.. Sasa ukija kwenye Uhalisia hizo taasisi zenye maslahi ni Chache sana na nadra kutangaza hizo kazi sasa hao in-service kibao wanatoka wapi..?

Pia, in-service wanaomba kazi psrs ni hawa vijana ambao hawana hata miaka 5 kwenye kazi zao(utumishi wa Umma) hawa ndio wasumbufu, ni ngumu sana kukuta senior worker Yuko huko Halmashauri ameridhika na majukumu yake, Mishe zake na yuko na familia kubwa akawa anahangaika namna hyo.
 
Good things happen when you least expect them.

Mifano mnayo humu wale wenye makeke sana wali disappear kama diffusion ya ushuzi, na wale humble wapo kupongezwa humu. Amini kama ulifanya vizuri basi you deserve it and it will happen to you no need to tail it every second.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…