Kwa hiyo unataka wastandardize marks kwa kanda iliyopata wote below 50 ili wapate above 50?.Sorry, hapa watachukua ratio ya kikanda au watachukua waliofaulu tu hata kama ni Kanda moja. Let assume kama Kanda moja au tatu hakuna aliyepata 50, na waliopata 50 and above ni Kanda moja let say dar tu, je wataziacha Kanda nyingine au watajaribu kibalance Kila Kanda itoe mtu?
Kanuni za PSRS hazijasema hivyo kama unavyotaka iwe.Hauoni kama hii italeta bias fulani kwa baadhi ya mikoa kukosa wawakilishi?
Hivi unajua tunapokusanywa pale CIVE, Udom si huwa tunatoka sehemu(kanda) mbalimbali? Halafu unaweza kukuta wanaoingia Oral waaweza kutoka ama Mwanza pekee(ingawa huwa hili halitambuliki), je kama ingekuwa inatambulika, wengine ambao wanatoka Mbeya wangedai haki ya kwenda Oral ilihali marks hazijafika?Asante sana kwa majibu mazuri, lakini ingekuwa vizuri zaidi kama wangezingatia selection kikanda ili kwenye usaili wa mahojihano wakutane watu kutoka sehemu mbalimbali ingependeza sana na kuleta faraja kwa baadhi ya watu. All in all wakati wa Mungu ndio sahihi kabisa maishani mwetu.
Aiseh the processKanuni za PSRS hazijasema hivyo kama unavyotaka iwe.
Yaani watu wapate 38(high mark)(matathalani), halafu utake iwena mwakilishi kwenye Oral. Haiwezekani kabisa, labda wasahihishaji wacheze rough kabla hizo marks hazijafika kwa Chief Examiner
vijana wanayaficha kama magunia ya bangi, niliomba ya afisa tawala kimya mpaka leo. Lakini wakiwa shortlisted wanasumbua kuomba guidelines haoHabari aliyefanya written ya afisa Biashara naomba utume maswali please
vijana wanayaficha kama magunia ya bangi, niliomba ya afisa tawala kimya mpaka leo. Lakini wakiwa shortlisted wanasumbua kuomba guidelines hao
Asante kwa maelezo mazuri sana kaka.Hivi unajua tunapokusanywa pale CIVE, Udom si huwa tunatoka sehemu(kanda) mbalimbali? Halafu unaweza kukuta wanaoingia Oral waaweza kutoka ama Mwanza pekee(ingawa huwa hili halitambuliki), je kama ingekuwa inatambulika, wengine ambao wanatoka Mbeya wangedai haki ya kwenda Oral ilihali marks hazijafika?
Mikando imeendelea kama kawaida aisee..Hii week naona hakuna placement Hadi saa hiii...
Wale waliofanya Usaili Leo wa UDOM(Tutorial Assistant) Mikando imeendaje huko..?
No New Placements no New advertisementsHii week naona hakuna placement Hadi saa hiii...
Wale waliofanya Usaili Leo wa UDOM(Tutorial Assistant) Mikando imeendaje huko..?
Components = Elements
Utofauti uko hapa; of & inCOMPONENTS OF FINANCIAL STATEMENTS
1. Statement of Profit or loss
2. Statement of Changes in Equity
3. Statement of financial position
4. Cash flow statement
5. Notes
ELEMENTS OF FINANCIAL STATEMENTS
1. Assets
2. Expense
3.Liabilities
4. Revenue
5.Equity
Leo umebadili gia anganiComponents = Elements
Utofauti uko hapa; of & in
Above; Components/ elements of financial statements.
Below; Components/elements in(or found in) the financial statements.
Umeelewa utofauti hapo lakini?Leo umebadili gia angani
Asante kwa ku-share, watakuwemo tu humu waliomba hizo/ watakao hudhuria huo usahili.Wakuu Kuna PDF jingine la usahili huko PT, au hizi mlivunga
Trade officer iiHabari aliyefanya written ya afisa Biashara naomba utume maswali please
Mkuu,hivi matokeo yakitoka na hawa unaowapinga humu wakiwa wamefaulu with flying colours, utaficha wapi sura yako ?maana unapinga vitu vilivyo wazi kabisa aiseeUmeelewa utofauti hapo lakini?
Hakuna tofauti kati ya elements na components kimaana.
Utafauti upo hayo/hilo nenolinatumika katika eneo lipi.
Ukielewa hapo tofauti ya of na in utajua nini nimemaanisha, imenilazimu kurudi katika kiingereza sasa kuwaelemisha kupitia (structure).
If the framework can not override any provision(s) of a specific standard, you can understand what I mean if you carefully go through IAS 1.