Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nimetoa mfano tu uwenda kwny Uhalisia wa fields hizo 2 zikawa sio related. Lkn Accounting Field kuna Kaz anaweza kuomba nje ya hyo Field yake ndy nilichokuwa nimelenga kuwakilisha sema mfano au kwendana na Uhalisia
 
Umeeleweka Acha tusubirie Placement uwenda Mwaka huu ukawa Mzuri Kwa watao kuwa karibu na ridhiki zao
 
Hata mimi ni vivyo hivyo, tuendelee kuomba Mungu Pdf ikitoka tuwemo mzee maana hizi status kuna wadau humu wanasema sio guarantee sana[emoji3][emoji3]
Ameen kabisa kk mm siangaliagi status sana kwasababu nimejitahid kufatilia nikaona zinachanganya sana mpk naachana nazo kbs,,,,nasubiri pdf tu, Mungu atusaidie tuwemo tukawatumie wananchi, Research assistants
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…