Yeah inawezekana kutokea ila tu kama uliforce system. Lakini kama kozi ni relevant na walitaja other relevant degree na ukaitwa na ukafanya usaili jua mna equal chance ya kuchaguliwa nyote.
Mfano. Hizi post za juzi za Mchumi Daraja la pili Kuna degree za Economics and Agricultural Economics.
Ukiangalia exactly unaweza sema watakao pewa priority ya kazi ni WA Economics pure, but the fact ni kuwa yeyote atakaye pita oral kati ya aliyesoma Economics and Agricultural Economics wote wanakuwa na equal chance ya kupata kazi.
Rejea pia, TMO walikuwa wanahitaji waliosoma Accountancy, Taxation and Economics. Kwahiyo yeyote atakaye pita kwenda oral anaweza kupata kazi na Kuna kifano hai ya walio soma Economics kupata kazi ya TMO afu wa Taxation kukosa.
Mwisho kabisa, Mungu anambariki yule anayemtumainia na kuamini katika yeye, bahati na fursa pia ufanya kazi yake.
Kumbuka; Mungu akupi kile unachokitaka ila anakupa kile unachostahili. Tunamipango yetu lakini Mungu anamipango bora zaidi kwetu