Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sisi tulianza kureport kwa Mwajiri tarehe 11, 13, 16 mwezi huu.

Leo ndio tumeanza Induction ambayo inaisha Ijumaa tarehe 27, baada ya hapo ndio tunasambazwa mikoani kuanza kazi, kwa hiyo mpunga kuna uwezekano wa kuusikilizia February mwishoni
Mkuu unafaham kada gani zitabaki hapo makao makuu?
 
Sisi tulianza kureport kwa Mwajiri tarehe 11, 13, 16 mwezi huu.

Leo ndio tumeanza Induction ambayo inaisha Ijumaa tarehe 27, baada ya hapo ndio tunasambazwa mikoani kuanza kazi, kwa hiyo mpunga kuna uwezekano wa kuusikilizia February mwishoni
Mwezi ujao hiyo Mkuu
 
Ukiwa muongo inabidi uwe nakumbukumbu
Mkuu hii Scnerio naikumbuka sana huko nyuma Ila huyo jamaa(sijui ndo wewe!!)nilimjibu kisiasa.. haiwezekani taasisi Fulani imetangaza kazi halafu mtu umeomba then ye anakuja kukuuliza umesoma Chuo Fulani..? Kana kwamba wanaotakiwa hapo ni waliosoma chuo Fulani tu...? Mbona nafasi zilitangazwa na watu tofauti waombe..
So sipendagi watu kama hawa coz wamekaa kwa ajili ya kukatishana tamaa ndo maana nilimjibi vile najua asingeweza kuendelea na alichokawa anataka kukusudia Kusema.

Ndo maana nimesema huko juu(Muktadha wa swali lake haukuwa sahihi ndo maana nilijibu vile na Wala siogopi lolote kuhusu Hilo azidi kuchambua quotes na aweke humu ila ukweli ndo uko hvyo Mimi NAJIKUBALI NA NAJIAMINI siku zote, I don't care for that)
 
Mkuu huyo nilimjibi kisiasa.. haiwezekani taasisi Fulani imetangaza kazi halafu mtu umeomba then ye anakuja kukuuliza umesoma Chuo Fulani..? Kana kwamba wanaotakiwa hapo ni waliosoma chuo Fulani tu...? Mbona nafasi zilitangazwa na watu tofauti waombe..
So sipendagi watu kama hawa coz wamekaa kwa ajili ya kukatishana tamaa ndo maana nilimjibi vile najua asingeweza kuendelea na alichokawa anataka kukusudia Kusema.

Ndo maana nimesema huko juu(Muktadha wa swali lake haikuwa sahihi ndo maana nilijibu vile na Wala siogopi lolote kuhusu Hilo azidi kuchambua quote na aweke humu ila ukweli ndo uko hvyo)
Kwenye maneno mengi pana udanganyifu ndani yake, ni hekima kuwa na maneno machache.
 
Lala kibo pale kuna lodge inaitwa jay jay
Vyumba vinaanzia elf 10 kwa single room
Nimewahi lala self inaanzia elf 12 vipo vya bei ya zaidi pia mpaka elf 15 KIBO na UDSM karibu ,asbh unachukua bora inakupeleke udsm moja kwa moja au bajaji mpaka njiapanda ya chuo then unachukua nyingine ya kwenda chuo

Ila ipo ndani kidogo lazima upate maelekezo ya mwenyeji ni kama dk 5 mpak 10 toka kituo cha daladala,usalama upo vizuri maji masaa 24
0624131450 jaribu kucheki na muhusika ukiona hapakufai utatafuta pengine
Kibo uswazi[emoji1787]au huku pande za msewe.
 
Mkuu hii Scnerio naikumbuka sana huko nyuma Ila huyo jamaa(sijui ndo wewe!!)nilimjibu kisiasa.. haiwezekani taasisi Fulani imetangaza kazi halafu mtu umeomba then ye anakuja kukuuliza umesoma Chuo Fulani..? Kana kwamba wanaotakiwa hapo ni waliosoma chuo Fulani tu...? Mbona nafasi zilitangazwa na watu tofauti waombe..
So sipendagi watu kama hawa coz wamekaa kwa ajili ya kukatishana tamaa ndo maana nilimjibi vile najua asingeweza kuendelea na alichokawa anataka kukusudia Kusema.

Ndo maana nimesema huko juu(Muktadha wa swali lake haukuwa sahihi ndo maana nilijibu vile na Wala siogopi lolote kuhusu Hilo azidi kuchambua quotes na aweke humu ila ukweli ndo uko hvyo Mimi NAJIKUBALI NA NAJIAMINI siku zote, I don't care for that)
Kabisa ndugu
 
Back
Top Bottom