Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sisi tulianza kureport kwa Mwajiri tarehe 11, 13, 16 mwezi huu.

Leo ndio tumeanza Induction ambayo inaisha Ijumaa tarehe 27, baada ya hapo ndio tunasambazwa mikoani kuanza kazi, kwa hiyo mpunga kuna uwezekano wa kuusikilizia February mwishoni
Mkuu unafaham kada gani zitabaki hapo makao makuu?
 
Sisi tulianza kureport kwa Mwajiri tarehe 11, 13, 16 mwezi huu.

Leo ndio tumeanza Induction ambayo inaisha Ijumaa tarehe 27, baada ya hapo ndio tunasambazwa mikoani kuanza kazi, kwa hiyo mpunga kuna uwezekano wa kuusikilizia February mwishoni
Mwezi ujao hiyo Mkuu
 
Ukiwa muongo inabidi uwe nakumbukumbu
Mkuu hii Scnerio naikumbuka sana huko nyuma Ila huyo jamaa(sijui ndo wewe!!)nilimjibu kisiasa.. haiwezekani taasisi Fulani imetangaza kazi halafu mtu umeomba then ye anakuja kukuuliza umesoma Chuo Fulani..? Kana kwamba wanaotakiwa hapo ni waliosoma chuo Fulani tu...? Mbona nafasi zilitangazwa na watu tofauti waombe..
So sipendagi watu kama hawa coz wamekaa kwa ajili ya kukatishana tamaa ndo maana nilimjibi vile najua asingeweza kuendelea na alichokawa anataka kukusudia Kusema.

Ndo maana nimesema huko juu(Muktadha wa swali lake haukuwa sahihi ndo maana nilijibu vile na Wala siogopi lolote kuhusu Hilo azidi kuchambua quotes na aweke humu ila ukweli ndo uko hvyo Mimi NAJIKUBALI NA NAJIAMINI siku zote, I don't care for that)
 
Kwenye maneno mengi pana udanganyifu ndani yake, ni hekima kuwa na maneno machache.
 
Kibo uswazi[emoji1787]au huku pande za msewe.
 
Kabisa ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…