Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,859
- 4,539
Kabisakabisa mkuu🙏🙏 hakuna kukata tamaa,Kama ambavyo binadamu kwa nyakati tofauti kiimani Mungu amekuwa akitutumia manabii kuja kutuongoza.
Vivyo hivyo na huu uzi, unahistoria ya kupata manabii kwa nyakati tofauti wanaousimamia na kuhakikisha unakuwa active, kisha muda wao ukifika ukingoni wanaondoka na kupatikana wengine katika namna zisizo tarajiwa.
Kwa sasa japo haijawa rasmi, lakini nauona ujio wa nabii Yakunle, ambaye ameibuka kwa njia ya maswali yenye lengo la kuwakilisha ambacho wengine wangetamani kufahamu, huku kwa nyakati tofauti akihakikisha jobless hawaki tamaa kwa kuwapa moyo.
Kila la kheri nyote mlioko safarini kufuata saili zinazoanza kesho Tar 28