mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Kwa web na app Bado kwangu inasoma ShortlistedItakuwa inabadilika kuja selected baada ya kufanya Oral au inakuwaje hii Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa web na app Bado kwangu inasoma ShortlistedItakuwa inabadilika kuja selected baada ya kufanya Oral au inakuwaje hii Mkuu
Hahahaaha sijaona placement yoyote kaka mpaka muda huu....Acha na habari za jamaa, vipi, hakuna placement iliyotolewa leo au hata kuwekwa huko psrs?
Kuna hoja na taarifa zinaletwa humu unabaki tu unajisemea, hiiiiii!Msaada wadau ,Kuna rafik yangu aliweka qualifications level ya advance diploma badala ya diploma ,Sasa anahitaji atoe iyo advance diploma aweke diploma.soo sad alishatuma maombi ,na majibu yametoka
Inaonesha hivi
View attachment 2497281
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka muda huu na leo ni Ijumaa, jamaa wa flash akishaenda kwa swala huwa harudi tena ofisini, au una lolote mkuu unahisi kuhusu placement leo?Hahahaaha sijaona placement yoyote kaka mpaka muda huu....
Vipi Kuna dalili ya PDF Leo????
Mpaka muda huu na leo ni Ijumaa, jamaa wa flash akishaenda kwa swala huwa harudi tena ofisini, au una lolote mkuu unahisi kuhusu placement leo?Hahahaaha sijaona placement yoyote kaka mpaka muda huu....
Vipi Kuna dalili ya PDF Leo????
Mpaka muda huu na leo ni Ijumaa, jamaa wa flash akishaenda kwa swala huwa harudi tena ofisini, au una lolote mkuu unahisi kuhusu placement leo?
Ofisi zao zipo wapKuna hoja na taarifa zinaletwa humu unabaki tu unajisemea, hiiiiii!
Afike ofisi za psrs aeleze hili watamsaidia, siamini kama hili lilotokea kwa bahati mbaya, I am sorry for this comment.
Au zipo kikandaKuna hoja na taarifa zinaletwa humu unabaki tu unajisemea, hiiiiii!
Afike ofisi za psrs aeleze hili watamsaidia, siamini kama hili lilotokea kwa bahati mbaya, I am sorry for this comment.
Watakuja kukuelekeza mkuu.
Mie nazifahamu za pale Asha-Rose, Udom tu.
Placement inaweza chukua muda gani kutoka kama ulifanya December...
Yakija kama haumo, jua kuna jamaa mwingine muda wake umefika, mwingine amepata fursa, kikubwa na cha pekee ni kutokuwa na matumaina makubwa zaid ya kushinda na kuipata nafasi na kupuuzia dhana ya ushindani.Japo naona jamaa kama huwa wanatuandaa kisaikolojia tu,maana kama yakija haumo au umo unaweza ona kawaida tu ya kuwa mikando inabidi iendelee.
Sio lazma hili kwenda namna hii.Placement inaweza chukua muda gani kutoka kama ulifanya December...
Ni kweli kabisa.Maana ni kama bahati tu hizi Ajira MkuuYakija kama haumo, jua kuna jamaa mwingine muda wake umefika, mwingine amepata fursa, kikubwa na cha pekee ni kutokuwa na matumaina makubwa zaid ya kushinda na kuipata nafasi na kupuuzia dhana ya ushindani.
Muda ndio kila kitu hakika.Yakija kama haumo, jua kuna jamaa mwingine muda wake umefika, mwingine amepata fursa, kikubwa na cha pekee ni kutokuwa na matumaina makubwa zaid ya kushinda na kuipata nafasi na kupuuzia dhana ya ushindani.
Mkuu, wakiondoa placement au kuweka unishtue.Ni kweli kabisa.Maana ni kama bahati tu hizi Ajira Mkuu
Mkuu, wakiondoa placement au kuweka unishtue.
Sasa mkuu mwanao akikushtua, unishtue na mimi hapa jukwaani, nimekaa palee. 😂Hahahaha ,na Mimi Kuna mwanangu huwa ananishtua tu...Mimi kuanzia Sasa updates nazipata Hapa kwenye huu uzi.
Hahaha usiwaze tuko pamoja.Sasa mkuu mwanao akikushtua, unishtue na mimi hapa jukwaani, nimekaa palee. 😂