Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Msaada wadau ,Kuna rafik yangu aliweka qualifications level ya advance diploma badala ya diploma ,Sasa anahitaji atoe iyo advance diploma aweke diploma.soo sad alishatuma maombi ,na majibu yametoka
Inaonesha hivi
View attachment 2497281

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hoja na taarifa zinaletwa humu unabaki tu unajisemea, hiiiiii!

Afike ofisi za psrs aeleze hili watamsaidia, siamini kama hili lilotokea kwa bahati mbaya, I am sorry for this comment.
 
Japo naona jamaa kama huwa wanatuandaa kisaikolojia tu,maana kama yakija haumo au umo unaweza ona kawaida tu ya kuwa mikando inabidi iendelee.
 
Japo naona jamaa kama huwa wanatuandaa kisaikolojia tu,maana kama yakija haumo au umo unaweza ona kawaida tu ya kuwa mikando inabidi iendelee.
Yakija kama haumo, jua kuna jamaa mwingine muda wake umefika, mwingine amepata fursa, kikubwa na cha pekee ni kutokuwa na matumaina makubwa zaid ya kushinda na kuipata nafasi na kupuuzia dhana ya ushindani.
 
Back
Top Bottom