You are smaaart 🫵🏼😄Nilifuata mlolongo wa kwenye CV( highest to lowest rank)
1. Chuo( hapa nilichomeka na masuala ya mafunzo kwa vitendo ambayo ni uzoefu pia)
2. Advance
3. Olevel.
Hata vyeti vyangu huwa napanga kwa mtiririko wa cheti nilichokipata currently hadi nilichokipata cha kwanza ambacho huwa naweka cha kuzaliwa.
Mlolongo huu niliona una msaada wa kutochanganya na unakuwezesha kuflow vizuri kwani unajua nikimaliza kutaja hiki kinafuatia kitu fulani ukilinganisha na kama ungekariri randomly.
Ndio maana ngeli nilizozimeza zilinisaliti na huu mlolongo ukaniokoa
Weka biashara tuone matangazo, wengine wap ita njia twaweza Ona kitu kizuri cha kuchukua/kununuaCheck ur PM [emoji4]
Kuna mwamba ame score 99.0% [emoji3][emoji3]Maswali tuliyoulizwa ya finance TPDC ni haya
1. Explain what is Pandemic emergency financial facility and why is nneded
2. Ways in which financial development impact economic growth
3. Distinguish between financial capital maintenance and physical capital maintenance
4. Financial planning consider the important parties mention it
Remember thisNina received moja ya NAOT, probabality ya kuitwa written siioni.
Kwa ufupi PSRS washasepa na clean sheet yao baada ya kunikanda tatu kwa nunge. Kwahiyo NAOT sina matumaini nayo kabisa
Hakuna mtu atapata 99 kwenye hayo maswali,Kuna mwamba ame score 99.0% [emoji3][emoji3]
Watu wapo vizuri asee.
Bonge moja la COMEBACK
Aliyepata 99 ni wa ICT bhana sio huuKuna mwamba ame score 99.0% [emoji3][emoji3]
Watu wapo vizuri asee.
Nakumbuka sana mkuu.
Kila la kheri mkuu, Mungu awe pamoja na weweKwakweli tokea nimeanza fanya pepa za utumishi, Kwa mtazamo wangu, pepa ya jana ilikuwa rahisi sanà.
Ngoja tusubirie hekima za wakandaji hawa hapa
Qns: Lab. Scientist II, Aquatic Science and Fisheries-UDSM.
View attachment 2498988
Nakumbuka kuna rafiki angu aliulizwa tell us about ur education background, akaanzia o level, panelist mmojawapo akamuuliza hukusoma primary[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaan hawa Psrs.... Mimi naona kila mmoja alivyochangia ni sahihi kutokana na panelist inayomsimamia[emoji3]Sometime wanauliza tell us about yourself, sometime wanauliza explain briefly your education and professional background na pia sometime wanauliza tell us your life history, education and professional background.
Alipata kazi?Nakumbuka kuna rafiki angu aliulizwa tell us about ur education background, akaanzia o level, panelist mmojawapo akamuuliza hukusoma primary[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaan hawa Psrs.... Mimi naona kila mmoja alivyochangia ni sahihi kutokana na panelist inayomsimamia[emoji3]
Kwenye jukwaa la matangazo madogo madogo uwa natangaza huko always. Kuna almost bidhaa zote nmeweka huko na bidhaa mpya zikiingia naweka. Unaweza pita huko utapata kila kitu, contacts, bei etc.Weka biashara tuone matangazo, wengine wap ita njia twaweza Ona kitu kizuri cha kuchukua/kununua
kama maswali mengine manne alinyoosha yote , naona hilo swal la kwanza halinaga maanaNakumbuka kuna rafiki angu aliulizwa tell us about ur education background, akaanzia o level, panelist mmojawapo akamuuliza hukusoma primary[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaan hawa Psrs.... Mimi naona kila mmoja alivyochangia ni sahihi kutokana na panelist inayomsimamia[emoji3]
Yes alipata ilikuwa wale mastate attorney waliofanya mwezi wa tano, mimi nlikuwa nafanya kada nyingine (land officer)Alipata kazi?
Yes kazi alipata, sijui utumishi wanagawa vipi marks lakini she was given a chance ya kuanza upya kuelezea education backgroundkama maswali mengine manne alinyoosha yote , naona hilo swal la kwanza halinaga maana
Yeah but sio hii paper kaka, zile results nimeona ni za kada ya ICT but hii paper ilikuwa jiwe kama sio CPA (T) au mchimbaji zaidi kusanda ni rahisi sana.Kuna mwamba ame score 99.0% [emoji3][emoji3]
Watu wapo vizuri asee.
Alikata tamaa mapema na kusahu kuwa Mungu bado hajamkatia tamaa yeye. Remember; that step you're afraid to make, might be a game changer. All the best kaka Mwifwa
Anhaa! Asante sana kwa kunielekeza mkuu.Yeah but sio hii paper kaka, zile results nimeona ni za kada ya ICT but hii paper ilikuwa jiwe kama sio CPA (T) au mchimbaji zaidi kusanda ni rahisi sana.