Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

LEO TAREHE 29.01.2023
WRITTEN INTERVIEW
AGRICULTURE OFFICER GRADE II.

1. Describe the importance of Soil Ph to the crops
2. Explain any five ways of improving soil fertility
3. How vegetation prevent runoff. Describe in detail.
4. a)How levellling is done
b) How plough is done now days
 
Mungu awasaidie muweze kutangulia hatua inayofuata ya usaili wa mahojihano. Mungu wetu ni mwenye rehema na anaona juhudi zetu.
 
Mkuu, mmemaliza saa ngapi usaili hapo Dom..?
 
Mtachuliwa wengi kwenye Oral.. nafasi zenu si haba..
Yeah kaka posibility ni kubwa sana, Mungu atusaidie tuvuke passmark yao tu, na hata maengineer walikuwa wachache sana, niliona madem wawili tu wengine wote men[emoji3][emoji3][emoji3]
Wachache sana wale naona tgsD wana ikwepa wadau[emoji3][emoji3][emoji3][emoji848]
 
Engeener si wako na TGS E, labda Kama nilisoma vibaya kwenye Lile Tangazo
 

Mkuu japo mimi sio kada yangu hii ila naona kabisa hii pepa inatia matumaini ya kwenda hatua inayofuata.

Aliyeuuliza kada za Engineering maswali yapo ila pepa zilikuwa technical sana na calculations kimtindo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…