me ni civil engineer ila hilo paper hata me nlikua napata ya kujibu haswa hapo kwwnye how levelling is done hahahahahahLEO TAREHE 29.01.2023
WRITTEN INTERVIEW
AGRICULTURE OFFICER GRADE II.
1. Describe the importance of Soil Ph to the crops
2. Explain any five ways of improving soil fertility
3. How vegetation prevent runoff. Describe in detail.
4. a)How levellling is done
b) How plough is done now days
hata mm nmeziogopa sana hizi paper zinazoonekana ni nyepesi nahisi kabisa zitaleta matokeo ya kikatili sanaKila laheri wakuu, Mimi ishachezea ndoige moja hapa, hebu nisubiri pdf, siyo kwa urahisi wa pepa ya jana afu ndoige round ya kwanza tu.
mzeee hapa nenda kwenye jukwaa la elimu huko wakusaidie platforms zipo nyingi humu jf....me nlipata A flat kwwnye combination zangu olevel lkn swali lako limenishinda kabisa limekuwa gumu haswaSamahanini wakuu kwa uzi interference,,,,Nauliza kwa serikali mwisho wa kuwapangia vyuo kwa fom4 ufaulu wa ngapi?
mtihan wetu civil wa irrigation tumekutana na swali la calculation af sikwepo na calculator issue za manning formula for water discharge hakika mwendo leo nmeumaliza daaaaahKwa mara ya kwanza nashuku matokeo ya utumishi kwa kada ya Lab. Scientist ii, Aquatic sciences and fisheries technologies UDSM.
Kwanza pepa ilikuwa rahisi sana, pia kwa pdf zilizopanda, kada yetu hakuna pia Sekretarieti ya Ajira kuna nini kinaendelea?
Kaangalie vizuri kada yenu ipo kakaKwa mara ya kwanza nashuku matokeo ya utumishi kwa kada ya Lab. Scientist ii, Aquatic sciences and fisheries technologies UDSM.
Kwanza pepa ilikuwa rahisi sana, pia kwa pdf zilizopanda, kada yetu hakuna pia Sekretarieti ya Ajira kuna nini kinaendelea?
Kada yako ipo hapoKwa mara ya kwanza nashuku matokeo ya utumishi kwa kada ya Lab. Scientist ii, Aquatic sciences and fisheries technologies UDSM.
Kwanza pepa ilikuwa rahisi sana, pia kwa pdf zilizopanda, kada yetu hakuna pia Sekretarieti ya Ajira kuna nini kinaendelea?
Sawa mkuu shukurani nitafika hukomzeee hapa nenda kwenye jukwaa la elimu huko wakusaidie platforms zipo nyingi humu jf....me nlipata A flat kwwnye combination zangu olevel lkn swali lako limenishinda kabisa limekuwa gumu haswa
sababu ya mambo yanaenda yanabadilika hahahahhahahahah
Usiseme hivyo, wapo wengi waliojikatia tamaa ila wakasahau kuwa Mungu Muweza yote bado hajawakatia tamaa na mwisho wa siku Mungu akawashangaza kwa kufaulu na kuendelea na hatua iliyofuata. Mungu wetu ni mwenye rehema, neema na baraka na anafanya njia pale pasipo na njia.mtihan wetu civil wa irrigation tumekutana na swali la calculation af sikwepo na calculator issue za manning formula for water discharge hakika mwendo leo nmeumaliza daaaaah
Hizo ss ndy tunahita Paper za Ushuhuda unakuja umepata hata 53 arafu kaz UwakikaKila laheri wakuu, Mimi ishachezea ndoige moja hapa, hebu nisubiri pdf, siyo kwa urahisi wa pepa ya jana afu ndoige round ya kwanza tu.
nakuunga Mkono kuna Paper nilitoka na Furaha sn lkn matokeo yakaja mkando araf kuna Paper lilikuja hovyo sikujib Swali Moja araf Moyon nikaona PSRS sio pakawaida hawana huruma hata Kdg lkn ndy lilinivusha mpk Leo nasubir PDF tuUsiseme hivyo, wapo wengi waliojikatia tamaa ila wakasahau kuwa Mungu Muweza yote bado hajawakatia tamaa na mwisho wa siku Mungu akawashangaza kwa kufaulu na kuendelea na hatua iliyofuata. Mungu wetu ni mwenye rehema, neema na baraka na anafanya njia pale pasipo na njia.
Kwa yeyote aliyepiga paper ya Electrical /mechanical engineering utumishi kwa ajili ya recruitment ya TPDC ,naomba atume maswali humu walioweka kwenye hiyo interview ya written Maana humu watu wanatuma maswali ya finance na watu wa humanities Ila Engineering sijawahi ona mtu anashare experience
Hapo watakandwa wengi sio poaForeign Officer post Paper Maswali.
1. Immunity and privileged of diplomats.
2. How Tanzania CAn benefit from South South cooperation.
3. Significance elements of international business and it's limitations.
4. How Tanzania can implement bilateral diplomacy ? Action taken.
me ni civil engineer ila hilo paper hata me nlikua napata ya kujibu haswa hapo kwwnye how levelling is done hahahahahah
Hapo watakandwa wengi sio poa
Kwani wanaofeli huwa hawaletewi maswali ya fani zao?Hii paper siyo ngumu kwa wenye fani....
Mkuu pepa ni pepa tuHii paper siyo ngumu kwa wenye fani....
Una report kutokea kanda gani..leo ndo jtatu[emoji3]Hope mpo salama, Mapambano yaendelee, Mungu yupo pamoja nanyi