Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

LEO TAREHE 29.01.2023
WRITTEN INTERVIEW
AGRICULTURE OFFICER GRADE II.

1. Describe the importance of Soil Ph to the crops
2. Explain any five ways of improving soil fertility
3. How vegetation prevent runoff. Describe in detail.
4. a)How levellling is done
b) How plough is done now days
me ni civil engineer ila hilo paper hata me nlikua napata ya kujibu haswa hapo kwwnye how levelling is done hahahahahah
 
Kila laheri wakuu, Mimi ishachezea ndoige moja hapa, hebu nisubiri pdf, siyo kwa urahisi wa pepa ya jana afu ndoige round ya kwanza tu.
hata mm nmeziogopa sana hizi paper zinazoonekana ni nyepesi nahisi kabisa zitaleta matokeo ya kikatili sana
 
Samahanini wakuu kwa uzi interference,,,,Nauliza kwa serikali mwisho wa kuwapangia vyuo kwa fom4 ufaulu wa ngapi?
mzeee hapa nenda kwenye jukwaa la elimu huko wakusaidie platforms zipo nyingi humu jf....me nlipata A flat kwwnye combination zangu olevel lkn swali lako limenishinda kabisa limekuwa gumu haswa

sababu ya mambo yanaenda yanabadilika hahahahhahahahah
 
Kwa mara ya kwanza nashuku matokeo ya utumishi kwa kada ya Lab. Scientist ii, Aquatic sciences and fisheries technologies UDSM.

Kwanza pepa ilikuwa rahisi sana, pia kwa pdf zilizopanda, kada yetu hakuna pia Sekretarieti ya Ajira kuna nini kinaendelea?
20230129_231217.jpg
 
Kwa mara ya kwanza nashuku matokeo ya utumishi kwa kada ya Lab. Scientist ii, Aquatic sciences and fisheries technologies UDSM.

Kwanza pepa ilikuwa rahisi sana, pia kwa pdf zilizopanda, kada yetu hakuna pia Sekretarieti ya Ajira kuna nini kinaendelea?
mtihan wetu civil wa irrigation tumekutana na swali la calculation af sikwepo na calculator issue za manning formula for water discharge hakika mwendo leo nmeumaliza daaaaah
 
Foreign Officer post Paper Maswali.

1. Immunity and privileged of diplomats.
2. How Tanzania CAn benefit from South South cooperation.
3. Significance elements of international business and it's limitations.
4. How Tanzania can implement bilateral diplomacy ? Action taken.
 
mzeee hapa nenda kwenye jukwaa la elimu huko wakusaidie platforms zipo nyingi humu jf....me nlipata A flat kwwnye combination zangu olevel lkn swali lako limenishinda kabisa limekuwa gumu haswa

sababu ya mambo yanaenda yanabadilika hahahahhahahahah
Sawa mkuu shukurani nitafika huko
 
mtihan wetu civil wa irrigation tumekutana na swali la calculation af sikwepo na calculator issue za manning formula for water discharge hakika mwendo leo nmeumaliza daaaaah
Usiseme hivyo, wapo wengi waliojikatia tamaa ila wakasahau kuwa Mungu Muweza yote bado hajawakatia tamaa na mwisho wa siku Mungu akawashangaza kwa kufaulu na kuendelea na hatua iliyofuata. Mungu wetu ni mwenye rehema, neema na baraka na anafanya njia pale pasipo na njia.
 
Hapa
Usiseme hivyo, wapo wengi waliojikatia tamaa ila wakasahau kuwa Mungu Muweza yote bado hajawakatia tamaa na mwisho wa siku Mungu akawashangaza kwa kufaulu na kuendelea na hatua iliyofuata. Mungu wetu ni mwenye rehema, neema na baraka na anafanya njia pale pasipo na njia.
nakuunga Mkono kuna Paper nilitoka na Furaha sn lkn matokeo yakaja mkando araf kuna Paper lilikuja hovyo sikujib Swali Moja araf Moyon nikaona PSRS sio pakawaida hawana huruma hata Kdg lkn ndy lilinivusha mpk Leo nasubir PDF tu
 
Kwa yeyote aliyepiga paper ya Electrical /mechanical engineering utumishi kwa ajili ya recruitment ya TPDC ,naomba atume maswali humu walioweka kwenye hiyo interview ya written Maana humu watu wanatuma maswali ya finance na watu wa humanities Ila Engineering sijawahi ona mtu anashare experience

Mechanical Technician
1. Important of maintenance
2. Cause of engineering system failures.
3.
 
Foreign Officer post Paper Maswali.

1. Immunity and privileged of diplomats.
2. How Tanzania CAn benefit from South South cooperation.
3. Significance elements of international business and it's limitations.
4. How Tanzania can implement bilateral diplomacy ? Action taken.
Hapo watakandwa wengi sio poa
 
Back
Top Bottom