Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Tupe mrejesho kilichojiri leoIla wadau.. hizi tunazofanya Huku tunasubiria placements taasisi 1 au 2 mkononi hazina mood kabisa..
Leo nimejikuta Sina mood kabisa yaan nimefanya ili mradi kwa kuwa sipo mbali..
Na nikalimwaga kabisa sijui..
Hongera sana karibu mkoq wetuWakuu Sasa Mimi ni mkazi wa mbeya, kesho nategemea kwenda mbeya.
Wenyeji wanitafutie chumba tu😂
Oooh idadi ya placement za kusubiri nimeongeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii.Tupe mrejesho kilichojiri leo
Kwanza hongera kwa kuattend siku ya leo na kuongeza idadi ya placement za kusubiria
[emoji23][emoji23][emoji23]Unamzingua mwambaKyagata TRA ukuomba msimu huu ?
Oooh idadi ya placement za kusubiri nimekngeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii
Usahili c umeenda poa lakiniOooh idadi ya placement za kusubiri nimekngeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii
YeahHivj tangu ulipoitwa ulikuwa Makao makuu?
Amina mkuu, tupo pamojaMkuu umepelekwa kuzuri sana sana kwasababu niliwahi kuishi naamini your self development including building, cars, etc itahappen kwani hata cost of living ya huko ni ndogo, na public servant ndio wanaenjoy sana mbeya.
Kila la kheri mkuu, we are on the way to come.
Usitutupe tu humu JF.
Nakaribia Mh.Hongera sana karibu mkoq wetu
Ahsante kwa taarifa pia mana akina meckpro waligoma kusema ata mkoa
Tukitembelea mbeya ambako wengine ni kwetu tunakuja kukusabahi na utupe mbinu za kutoboa psrs😁
Poa kabisa,,ukiona robo tatu ya maswali ime-attempt vizuri basi si habaHongera mkuu. Kada gani ?
Usahili c umeenda poa lakini
Hongera sana mkuu, umefika mwisho wa safari yako ya kusaka mrija wa asali sasa unaanza maisha mapya kabisa. Hongera sanaWakuu Sasa Mimi ni mkazi wa mbeya, kesho nategemea kwenda mbeya.
Wenyeji wanitafutie chumba tu[emoji23]
Hongera sana mkuu.Oooh idadi ya placement za kusubiri nimeongeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii.
But hakuna mpya ni maswali yaleyale ya kumention point 5 yaan mpaka yanakera but si haba naiona 60% ya kukaa database kabisa.
Karibu sana mbeya kwetu mkuuWakuu Sasa Mimi ni mkazi wa mbeya, kesho nategemea kwenda mbeya.
Wenyeji wanitafutie chumba tu[emoji23]
MZUMBE, MUST, TIA, CBE, TEKU, SAUT, au wapi mkuuTutorial Assistant
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyumbani huwa hatupasahau hata kama tusiporudi kwa miaka mingi.
ivii matokeo wanavyochelewa kutoa wakitoa leo trh 31 af usail ni tarehe 1 mtu kama amerud mkoan na amechaguliwa oral atawezaje kuwahi hapo???Habari zenu, hope nyote mpo poa. Mapambano yaendelee, Maombi yangu kwenu nyote mliofanya mitihani. Mungu yupo nasi. Mlale salama[emoji1431]
Matokeo yametoka kwa kada karibu zote, waliobakia ni FINANCE MANAGEMENT OFFICER II nahisi, ingia kwenye tovuti ujioneeeeivii matokeo wanavyochelewa kutoa wakitoa leo trh 31 af usail ni tarehe 1 mtu kama amerud mkoan na amechaguliwa oral atawezaje kuwahi hapo???
yametoka saa ngapi??Matokeo yametoka kwa kada karibu zote, waliobakia ni FINANCE MANAGEMENT OFFICER II nahisi, ingia kwenye tovuti ujioneeee