Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ila wadau.. hizi tunazofanya Huku tunasubiria placements taasisi 1 au 2 mkononi hazina mood kabisa..
Leo nimejikuta Sina mood kabisa yaan nimefanya ili mradi kwa kuwa sipo mbali..
Na nikalimwaga kabisa sijui..
Tupe mrejesho kilichojiri leo
Kwanza hongera kwa kuattend siku ya leo na kuongeza idadi ya placement za kusubiria
 
Tupe mrejesho kilichojiri leo
Kwanza hongera kwa kuattend siku ya leo na kuongeza idadi ya placement za kusubiria
Oooh idadi ya placement za kusubiri nimeongeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii.
But hakuna mpya ni maswali yaleyale ya kumention point 5 yaan mpaka yanakera but si haba naiona 60% ya kukaa database kabisa.
 
Hongera mkuu. Kada gani ?
Oooh idadi ya placement za kusubiri nimekngeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii

Oooh idadi ya placement za kusubiri nimekngeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii
Usahili c umeenda poa lakini
 
Mkuu umepelekwa kuzuri sana sana kwasababu niliwahi kuishi naamini your self development including building, cars, etc itahappen kwani hata cost of living ya huko ni ndogo, na public servant ndio wanaenjoy sana mbeya.
Kila la kheri mkuu, we are on the way to come.
Usitutupe tu humu JF.
Amina mkuu, tupo pamoja
 
Oooh idadi ya placement za kusubiri nimeongeza.. but jamaa wametuambia ndani ya wiki 2 mzigo utatema,, so nataka nione uongo wao safari hii.
But hakuna mpya ni maswali yaleyale ya kumention point 5 yaan mpaka yanakera but si haba naiona 60% ya kukaa database kabisa.
Hongera sana mkuu.
 
Back
Top Bottom