Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wanasheria waliokua wanategemea placements kutoka hasa waliofanya interview October 2022 hicho kitu kwasasa ondoeni kwenye akili zenu... Habari za Ndani hakuna placement tena
Bora nlibet mapema nkapanda mipango yangu mingine, tutaboa tu ata kwa shughuli nyingine ili mradi ni halali, siku utumishi wakiamua kutubless tutamshukuru Mungu[emoji1]
 
Oral Kesho matokeo wanatoa usiku huu?? Hawa ni wapumbavu, kwahiyo walitaka watu waendelee kukaa Dodoma bila Pesa??
Hapo kwel ndy wanapokosea sn?? Kifup watt wa Maskini ndy tunaumia Nauli yenyew ya kwenda kweny Usaili mpk umpigie Kaka, Dada, mjomba na ndg kibao ndy upate Nauli Leo utoe Usiku araf mtu kesho anafanya Mmmmmmmmmmh Tutasubir sn
 
Naona kunazidi kukucha, PDF ZA MATOKEO TUNAPATAJE AISEH
Agricultural Officer grade 2 naona watu walikamia show 99% Hongera zenu wote mmeochaguliwa kuendelea na hatua ya usaili wa mahojihano. Mwenyezi Mungu awatangulie, mjiamini, ujasiri, smartness. Furaha yetu ni kuona watu wote tunaowafahamu, wanaotuzunguka na walio karibu yetu wanafanikiwa.[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…