Bora nlibet mapema nkapanda mipango yangu mingine, tutaboa tu ata kwa shughuli nyingine ili mradi ni halali, siku utumishi wakiamua kutubless tutamshukuru Mungu[emoji1]Wanasheria waliokua wanategemea placements kutoka hasa waliofanya interview October 2022 hicho kitu kwasasa ondoeni kwenye akili zenu... Habari za Ndani hakuna placement tena