Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Watainjoi kwa lipi wakati nafasi wanazoshindania ni mbili tu, 1:4
Wasaka tonge wapo 7 Mtihan wao wa Oral nahis 70% itakuwa ni General Questions tu Mambo ya Duties and Responsibilities pmj na Function sijui Importance Yana Asilimia kubwa sn kutoka kweny Paper Lao. Arafu nafas zinaweza kuwa 2 lkn wakachukua 5+
 
- Utumishi wababaishaji, wanatangaza nafasi za kazi 100 halafu wanakuja kuajiri watu chini y 20, kama hawakuwa na bajeti ya kuajiri si wangesema ukweli tu, kuwa nafasi za kazi ni chache like 20, kuliko kudanganya vijana, Kwa maana tumeona WAKILI Mkuu wameajiri 30s wakati tangazo lilisema ni 100, huu ni ubabaishaji
 
Yn mtu anapat kazi taasisi A haridhiki anaenda kufny usaili tena anapata B hardhiki anaenda tena anapata C wengne wansbria tu mpk jamaa aridhike kweli dunia haiko fair kbsa
Hapa PSRS km ingewapendea wangejitahid sn kwny kumbukumbu zao mtu akipata Placement Acc yake Ibadilike na kusiwe na Option tena ya Kuapply kaz yoyote mpk Kwa muda Flan ndy aweze kuapply ili kupunguza nafas anazoacha Wazi baada ya kupata Multiple Placements


Maana unakuta mtu yupo Kanzidata mpk muda wakukaa huko unaisha na nafasi ya kazi haijapatikana Kwa 7b ya hawa wenye placements Zaid ya 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…