Taja chuo tu mkuu tutapata kujua kama wamekosea au vipiWadau inakuwaje ? Mimi Kuna post ya tutorial assistant sijawa shortlisted na sababu wameniwekea .
Training Institution not Accredited by TCU
Sasa hapo sijawaelewa wakuu kwamba Taasisi iliyonitrain haitambuliki na TCU au imekuwaje ?
NOTE:MIMI NIMEMALIZA MASOMO KWENYE TAASISI KAMA DIT,TIA,IAA HALAFU NILIOMBA POST ILIYOTOLEWA NA VYUO VIKUU KAMA MZUMBE,UDSM,UDOM.
aliyenielewa naomba anielekeze.
Kwann usitaje tu chuo watu washauri vyema? Usiogpoe mkuuWadau inakuwaje ? Mimi Kuna post ya tutorial assistant sijawa shortlisted na sababu wameniwekea .
Training Institution not Accredited by TCU
Sasa hapo sijawaelewa wakuu kwamba Taasisi iliyonitrain haitambuliki na TCU au imekuwaje ?
NOTE:MIMI NIMEMALIZA MASOMO KWENYE TAASISI KAMA DIT,TIA,IAA HALAFU NILIOMBA POST ILIYOTOLEWA NA VYUO VIKUU KAMA MZUMBE,UDSM,UDOM.
aliyenielewa naomba anielekeze.
Kwa kweli ukijiandaa vyema mutlipo choice lazima utaboeMultiple choice
Sema ambao tupo mathematical oriented multiple choice inachosha sanaKwa kweli ukijiandaa vyema mutlipo choice lazima utaboe
Kumbe veta waliwapo pepa la hvyo
Inategemea mkuu mi nilichezea za uso IFM walileta pepa imejaa windows server mwanzo mwisho kada ya TAKwa kweli ukijiandaa vyema mutlipo choice lazima utaboe
Kumbe veta waliwapo pepa la hvyo
TIA kwenda ARDHI UNIVERSITY post TUTORIAL ASSISTANT-BANKINGTaja chuo ulichosoma
TIA KWENDA ARDHI UNIVERSITY POST TUTORIAL ASSISTANT-BANKINGMkuu taja hiyo institute
TIA kwenda ARDHI UNIVERSITY POST TUTORIAL ASSISTANT-BANKINGKwann usitaje tu chuo watu washauri vyema? Usiogpoe mkuu
Hahahahhah poa poa mkuu but ni hapo hapo nilipotaja institutions na universities, ngoja nkurahisishie, kutoka TIA kwenda Ardhi university yaani kada nzima wameita watu Saba tu ndo najiuliza inamaana posts zimekuwa offered kwa Tanzania nzima halafu watu waitwe kidogo hivyo tena kwenye written hata kama GPA waliyoitaka ni 3.8 it still does not make sense watu Saba kwa wasomi wote TANZANIA hapana kwakweliTaja chuo tu mkuu tutapata kujua kama wamekosea au vipi
Nayeyuka huku nikiweweseka kiutumishi tumishi
Hongera sana mkuu.Naamimi namshukuru Mungu nimepata....nawatia moyo wenzangu ipo pia siku yenu.
Hiyo sababu ni kwa sababu chuo ulichosoma siyo university na kipo accredited na NACTE ambapo mode ya teaching ni 'Competency Based'' ambapo quality reviews zinafanywa kwa standard za NACTE,wakati vyuom kama Mzumbe,UDSM etc vipo regulated na TCU na mode of teaching ni 'Knowldege based' na quality reviews zinafanywa kwa standards za TCU,hivyo wanaona wakikuchukua ambae umesoma kwenye system inayo-differ na mode yao ya teaching italeta complication nyingine.Hivyo wewe una-qualify kwa vyuo ambavyo vipo regulated na NACTE tu. But kama ni issue ya ajira zingine za ku-practice apart from teaching,nadhani hiyo differentiation is irrelevant inategemea candidate husika utapambana vipiWadau inakuwaje ? Mimi Kuna post ya tutorial assistant sijawa shortlisted na sababu wameniwekea .
Training Institution not Accredited by TCU
Sasa hapo sijawaelewa wakuu kwamba Taasisi iliyonitrain haitambuliki na TCU au imekuwaje ?
NOTE:MIMI NIMEMALIZA MASOMO KWENYE TAASISI KAMA DIT,TIA,IAA HALAFU NILIOMBA POST ILIYOTOLEWA NA VYUO VIKUU KAMA MZUMBE,UDSM,UDOM.
aliyenielewa naomba anielekeze.
Poa poa mkuu, inawezekana ukawa sahihi mkuu, but wasingeniwekea possibilty ya kuomba kabisa maana sijaqualify kabisa, na nshaomba kwa vyuo kama vitatu hivi, Ngoja nione watasemaje huko kulikobakia asee.Hiyo sababu ni kwa sababu chuo ulichosoma siyo university na kipo accredited na NACTE ambapo mode ya teaching ni 'Competency Based'' ambapo quality reviews zinafanywa kwa standard za NACTE,wakati vyuom kama Mzumbe,UDSM etc vipo regulated na TCU na mode of teaching ni 'Knowldege based' na quality reviews zinafanywa kwa standards za TCU,hivyo wanaona wakikuchukua ambae umesoma kwenye system inayo-differ na mode yao ya teaching italeta complication nyingine.Hivyo wewe una-qualify kwa vyuo ambavyo vipo regulated na NACTE tu. But kama ni issue ya ajira zingine za ku-practice apart from teaching,nadhani hiyo differentiation is irrelevant inategemea candidate husika utapambana vipi
Nawasilisha while i stand to be corrected
Na hiyo siyo kwako tu,kuna vijana wamesoma Economics IRDP Dodoma,lkn wanataka wakafundishe UDSM kwenye kada ya Economics,nao huenda wakawa disqualified Kwa sababu kama hiyo ya Accreditation ya TCUPoa poa mkuu, inawezekana ukawa sahihi mkuu, but wasingeniwekea possibilty ya kuomba kabisa maana sijaqualify kabisa, na nshaomba kwa vyuo kama vitatu hivi, Ngoja nione watasemaje huko kulikobakia asee.
Ila Asante mkuu
Duh.Na hiyo siyo kwako tu,kuna vijana wamesoma Economics IRDP Dodoma,lkn wanataka wakafundishe UDSM kwenye kada ya Economics,nao huenda wakawa disqualified Kwa sababu kama hiyo ya Accreditation ya TCU
Ila ni very petty reasons.Na hiyo siyo kwako tu,kuna vijana wamesoma Economics IRDP Dodoma,lkn wanataka wakafundishe UDSM kwenye kada ya Economics,nao huenda wakawa disqualified Kwa sababu kama hiyo ya Accreditation ya TCU
Amin#Wadau nami ipo siku jina langu litaappear kwa mkekawa Placement PSRS na nitakuja kuwaambia hapa tena nikiwa nimepata kazi kwenye Taasisi nzuri tu..
MUNGU NDIO KILA KITU IPO SIKU HAUSLTLING ZETU ATAZIONA NA KUZIBARIKI.
Tuseme INSHALLAH......[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Aisee hongereni wote mliofanikiwaWakuu nimetoboa Alhamdulillaah, ambao hamjapata nawatia moyo, sitasahau huu uzi umenipa matumaini sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3516]
NASIKITIKA KUONA TAASISI YETU KONGWE YA "UMAJOTA" (Umoja wa MAJObless TAnzania) IMEPOTEZA MEMBA KADHAA.
Amiiyn [emoji1431]Hongera sana mkuu.
Pokea pongezi na Dua zetu kwenye komenti zilizotangulia