Sekretarieti ya Ajira
Member
- Nov 15, 2022
- 25
- 142
Tumepokea ila Placement zinaendelea kufanyika. Tembelea www.ajira.go.tz kuona zaidiMwezi Wa 12 mwaka 2022 walitoa placement mfululizo ila Sasa placement za manati.
Watu wamefanya usaili November, December hadi Sasa hawajui hatma zao.
Sekretarieti ya Ajira Tunaomba muweke placement hizo basi.Tumesubiri sana
Uku kuna mjadala wa status za selected for null na selected for oral baada ya oral tupeni ufafanuzi.Tumepokea ila Placement zinaendelea kufanyika. Tembelea www.ajira.go.tz kuona zaidi
Pole mkuu usife moyoHabari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Ili swala mbona lishaelezwa sana humu, na nini maana yake.Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Hongera mkuu,Jaman [emoji1316][emoji1316] wale wa selected for null kitu ni uwakikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji108][emoji108][emoji108]
Kwani huko hakuna overtime? (EXtra duty allowance)Atakuwa kashajua maana hii kitu haifichiki.
Ila huku sio hotcake ni mwendo wa overload na maripoti hatari, muda wa kutoka kazini ni saa 9:30 ila watu wanapitiliza hadi saa 11 jioni wakiwa busy na maripoti.
Pole Mkuu, ila umetupa mrejesho mzuri. Tumejua kuwa status za kwenye app hazina effect, PDF ndo Kila kituHabari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Atupe mrejesho huyu mwambakyagata naomba mrejesho wa HESLB
HEE BORA HATA MMEREPLY KUMBE NA HUMU MNAONAGA MAONI NI JAMBO LA FARAJA KWAKWELI MMEREPLY HUMU…NAOMBA PIA MTUWEKE SAWA KUHUSU SWALA LA STATUS LINAVURUGA SANA AKILI🙏🏾Tumepokea ila Placement zinaendelea kufanyika. Tembelea www.ajira.go.tz kuona zaidi
Tumepokea ila Placement zinaendelea kufanyika. Tembelea www.ajira.go.tz kuona zaidi
Pole sana mkuu usikate tamaa sio ww pekee uliokosaHabari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Blessed kkSwali la Education Background;
Bachelor degree.
Advanced level.
Ordinary level.
Primary education.
Swali la Tell us about yourself.
Names.
Age.
Place of birth.
Bachelor degree.
Skills.
Knowledge.
Experience.
Achievements.
N.B; usizidishe dakika 2 kujibu hayo maswali short and clear japo experience and achievements kwa kazi za serikalini sio lazima, Kuna mdau alishakosa kazi kisa alisema ana experience na anafanya kazi shirika kubwa nchini.[emoji16]
Mkuu ni hatari sana haya mamboNastaajabu,, yaan hizi taasisi za Kilimo nazo wanachelewesha hawajui huu ndio mda wa Kilimo au wanataka watu waajiriwe kiangazi wakale wifi za Bure tu huko Ofisini..
Sikutegemea kina Balozi limited wasote Hadi mda huu kusubiri hizi placements za TARI na ASA
mna muda ghan mpaka saivi mnasubir placement??Mkuu ni hatari sana haya mambo
replacement???mna muda ghan mpaka saivi mnasubir replacement??
Kweli mambo ni mazuri Hakika.February tumeshaona placements Mbili Hadi Sasa.Naimani nyingine nyingi Mwezi huu tutashuhudia.Naimani hata nyie wenyewe mmejionea Furaha ya Vijana Leo baada ya hizi placements.Hakika Wale wa TAEC,OUT,RUWASA,TARI na vijana wengine wa November,December wanawasubiri kwa hamu pale kwenye sehemu ya Placement..Tumepokea ila Placement zinaendelea kufanyika. Tembelea www.ajira.go.tz kuona zaidi
placementreplacement???
Hilo lilishasemwa mbona humu ndani.Status hazina umuhimu wowote na haziamui chochote kwenye PDF.Status ni Reference ya mtu kwenda Hatua ya pili au kutokwenda Hatua ya Pili.Hizo hazina Umuhimu wowote.PDF la Placement ndio Kila kitu.Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Pole sana kaka.Lakini usisite kuangalia PDF nyinginezo zijazo za Placement kwa maana kama mwaka haujaisha basi lolote linaweza kutokea.Mungu ni mwema sana.Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.