Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ila usiondoke humu.Tuendelee kupata comments zako.Hongera sana Mungu ni mwema sana.
Ila we jamaa umetoka mbali sana.Toka ulipoachaga kazi ya laki 8 na ushee kisa mazingira hukuyapenda.Ila Mungu kakupa kazi Serikalini Sasa.Hongera sana!
Watu mnakataa kazi za laki 8???

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom