UmeelewekaKipimo kitakuwa ni tarehe 20 mwezi huu, wakivuka hawajatoa basi wataenda adi miez miwili, but kwenye hizi office za serikali hakuna office ambazo hazina uhitaji,karibu kila office ina uhitaji, wanacho angalia naisi mkubwa kiasi gani, kwa mfano ata UDSM anapost ambazo hazimalizi week 2 but pia ana post ambazo huwa zinachukua miezi miwili kutoka.
Ni ya mwaka huu jaribu ndugu yanguMbona hiyo kama ya 2022
TRA wanataka watu wao mwezi wa 3Kwa mawazo yangu TRA wawe wapole ila hawa wenye saili za vyuo hasa assistant na tutorial lecturers kama saili za UDOM lolote linatokea mda wowote mara nyingi hawakai kwenye foleni.
Post ambazo hazimalizi week ni kama zipi..?Kipimo kitakuwa ni tarehe 20 mwezi huu, wakivuka hawajatoa basi wataenda adi miez miwili, but kwenye hizi office za serikali hakuna office ambazo hazina uhitaji,karibu kila office ina uhitaji, wanacho angalia naisi mkubwa kiasi gani, kwa mfano ata UDSM anapost ambazo hazimalizi week 2 but pia ana post ambazo huwa zinachukua miezi miwili kutoka.
Post ambazo zinatoka ndani ya week 2Post ambazo hazimalizi week ni kama zipi..?
Ni post zipi Sasa,,, yaan kwa bmvitengo vipi..?Post ambazo zinatoka ndani ya week 2
Sana sanaa zinakuwa za ma assistant na tutorial lecturers.Ni post zipi Sasa,,, yaan kwa bmvitengo vipi..?
Hizi ngoma hazina formula maalum, tusubiri tu mikeka hiyo, humu kila mmoja anajalibu kuja na assumption zake.Ni post zipi Sasa,,, yaan kwa bmvitengo vipi..?
Na hasaa post ambazo watu wanaenda kufanyia kwenye taasisi husika kwa mfano za OUT juzi kat hapa hizi uwa zina wai. Hii ilifanyikia darNi post zipi Sasa,,, yaan kwa bmvitengo vipi..?
Ok.. wiki ilopita tumipiga za Ma-Scientist, Engeener, Technician Ila walisema placements zitatoka after 2 week. ilikuwa ni UDSM chuoni kabisaSana sanaa zinakuwa za ma assistant na tutorial lecturers.
November mwishoni washatimua Maofisa 7 kuna nafasi zimeongezeka na zinahitaji watu haraka 😅Hizi ngoma hazina formula maalum, tusubiri tu mikeka hiyo, humu kila mmoja anajalibu kuja na assumption zake.
Vp lkn mkuu, maswali yametembea kimtindo..?ORAL INTERVIEW AGRICULTURAL OFFICER GRADE-2 Tarehe 05.02.2023. NIRC under Ministry of Agriculture.
1. Tell us about yourself includiing education background and experience if you have.
2. Benefit of seed treatment
3.Effect of weed competition on the crop growth
4. Factor to consider on the irrigation method
5. Function of farm tools.
Inawezekana waka release, baada ya 2 weeks, kama zilizimamiwa na chuo chenyew japo kuwa kuna kua na member wa PSRS hapo ku hakikisha zoezi linaenda sawa. But PSRS pia huwa wanawambia watu waangalie matokeo baada ya week 2 mara nyingi, ilaa inapitiliza adi miezi. Nahisi kanuni zinasema matokeo yanaanza kutoka baada ya week 2 kama sio 3 na wawo wanajibu kulingana na kanuni, hawawezi sema subiri miezi miwili au mitatu.Ok.. wiki ilopita tumipiga za Ma-Scientist, Engeener, Technician Ila wakisema placements zitatoka after 2 week
🤣🤣🤣🤣🤣November mwishoni washatimua Maofisa 7 kuna nafasi zimeongezeka na zinahitaji watu haraka 😅
Mtambaswala wanataka watu huko walikimbia kipindi cha mtikiso wa msumbiji
Kabanga wana uhabaa huko
Rusumo walitimua maofisa walikuwa wanaruhusu magendo usiku
Jiandaeni mwezi huu hammalizi kiongozi 😃
Yaaap, alikuwepo mwakilishi mmoja kutoka psrs Ila panel yote ni cabinet kutoka UDSM,, yaan malecturer.Inawezekana waka release, baada ya 2 weeks, kama zilizimamiwa na chuo chenyew japo kuwa kuna kua na member wa PSRS hapo ku hakikisha zoezi linaenda sawa. But PSRS pia huwa wanawambia watu waangalie matokeo baada ya week 2 mara nyingi, ilaa inapitiliza adi miezi. Nahisi kanuni zinasema matokeo yanaanza kutoka baada ya week 2 kama sio 3 na wawo wanajibu kulingana na kanuni, hawawezi sema subiri miezi miwili au mitatu.
Matokeo yenu tayari na barua tayari mshaandaliwa ni suala la muda tu🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda kanunue suti yenye kizibao kwajili ya kufata barua, usisahau tai, ila anagalia rangi ya tai🤣🤣🤣🤣Yaaap, alikuwepo mwakilishi mmoja kutoka psrs Ila panel yote ni cabinet kutoka UDSM,, yaan malecturer.
Tena walikuwa na HR wao mmoja wa palepale UDSM😁
Duuuh, mkuu haya maneno yako yawe ndio Uhalisia..Nenda kanunue suti yenye kizibao kwajili ya kufata barua, usisahau tai, ila anagalia rangi ya tai🤣🤣🤣🤣
Yeah, inaoekana barua huwa inaandaliwa mapema, nafikiri mtihani upo katika kutia sahihi/signature mkuu wa wakandaji. Fikiria watu 400+ itabidi atumie siku ngapi kukamilisha hilo zoezi.Matokeo yenu tayari na barua tayari mshaandaliwa ni suala la muda tu
Nakumbuka kiongozi mwifwa alisema barua zao zilikuwa tayari tangu tarehe 7 december ila wakaitwa january