Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yote tutafakari humu lakini MUNGU ndo Kila kitu....Kila jambo tunalofanya na kukutana nalo tunapaswa kumshukuru MUNGU. Inawezekan ulijibu maswali yote vibaya lakini kwa msaada wake MUNGU ukafaulu. MUNGU akiona wakati wako imefika hakuna wa kuzuia.
Obviously napenda influences kama hizi Huwa zinasaidia kiondoa msongo wa mawazo.. yaan Ile unarecall jinsi ulivyofanya Usaili, swali Fulani lilikushinda inakondesha kabisa
 
Yote tutafakari humu lakini MUNGU ndo Kila kitu....Kila jambo tunalofanya na kukutana nalo tunapaswa kumshukuru MUNGU. Inawezekan ulijibu maswali yote vibaya lakini kwa msaada wake MUNGU ukafaulu. MUNGU akiona wakati wako imefika hakuna wa kuzuia.
Kaka asante sana kwa kutukumbusha, jambo jema hili
 
Subra inaendelea kuvutwa Toka mwaka 2022....
Hata bwana :
Yakunle
Mwifwa
HS CODE
ann056
Na wengineo wanajua uvumilivu ndio jambo la msingi.
Kweli kabisa,subira ni muhimu sana.

Natoa wito, kama una kijiwe cha kuzugia, hakikisha unakishikilia kwa nidhamu ya hali ya juu huku ukiendelea kupambana.

Mara nyingi vijiweni kuna changamoto nyingi ila chukulieni kama changamoto za kuwapa hamasa ya kupambana na wala usizichukulie kuwa ni changamoto za kukurudisha nyuma
 
Ulijitambulusha vipi mkuu paka kuambiwa hvyo?
nili ji introduce full name yangu,umri na elimu yangu.
nilianzia level degree mpaka primary huku nikigusia mwaka niliohitimu hio elimu per each.
nikajisifu kuwa nimezaliwa familia yenye background ya hii kazi niliyo omba
nikamalizia experience yangu (taasisi mbili tofauti) ambapo experience angu nilitaja duties zinazoe elekeana na tangazo la kazi,then nikasema thank you

panelist mkuu pale akanambia very good, tulipoanza kwenye class questions sikulisikia tena neno good wakuu,zaidi ya ure so welcome mfwende.
 
Hahahahah wewe jamaa una vituko sana....Ure so Welcome Mfwende wa UT from Singida.
 
Very good Mr. Mfwende
 
Mzee wa Ndoige
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…