Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hataki mwili upoe utumishi watakuja kuua mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hataki mwili upoe utumishi watakuja kuua mtu
Nina received moja ya NAOT, probabality ya kuitwa written siioni.Bado una mikando mingapi mkuu?
😂😂😂😂😂Nina received moja ya NAOT, probabality ya kuitwa written siioni.
Kwa ufupi PSRS washasepa na clean sheet yao baada ya kunikanda tatu kwa nunge. Kwahiyo NAOT sina matumaini nayo kabisa
Kwa nin usiitwe mkuu?Nina received moja ya NAOT, probabality ya kuitwa written siioni.
Kwa ufupi PSRS washasepa na clean sheet yao baada ya kunikanda tatu kwa nunge. Kwahiyo NAOT sina matumaini nayo kabisa
HESLB ukuomba?Nina received moja ya NAOT, probabality ya kuitwa written siioni.
Kwa ufupi PSRS washasepa na clean sheet yao baada ya kunikanda tatu kwa nunge. Kwahiyo NAOT sina matumaini nayo kabisa
Naomba notes za economic 101 mkuu,Huwezi kusoma vyote ila let's say ulisoma Economics komaa vya kutosha uelewe ile Economics 101. Huko kwengine utaongezea kutokana na unavyoona ila pia upitiepitie research.
Huo ni mfano tu nimetoa sijasoma economics
Sawa mkuuHuo ni mfano tu nimetoa sijasoma economics
Kama Man United yaani, ndani ya dk 30, kapigwa 4 kwa nunge[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najiona sifit kwenye hiyo nafasi.Kwa nin usiitwe mkuu?
Hakukuwa na nafasi ya kada yanguHESLB ukuomba?
Na hivyo siku hizi ni mpaka Utumishi kama unataka kua TA interview ikikupita utakaa benchi sana
hata enterview sijaitwa mkuu,ila jf kwangu ndo nyumban kamwe siwezi kupasahau
Thanks mkuuHuwezi kusoma vyote ila let's say ulisoma Economics komaa vya kutosha uelewe ile Economics 101. Huko kwengine utaongezea kutokana na unavyoona ila pia upitiepitie research.
Ilikuaje Chief?Wakuu ndo nimepanda gari kurudi dar huko utumishi na kureport kazini process kubwa sana kichwa kinauma hapa aiseee ngoja nisinzie tu hapa kwenye kiti
Ni nafasi gani mkuu?Najiona sifit kwenye hiyo nafasi.
Nikiitwa nalo itakuwa zari jema
Wanakera Sana hawa pimbi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwaisa , na madesa yote magumu plus vitimbwi vya maprofessor na ugumu WA masomo ya chuo Engineer mzima naletewa kejeli za kiwaki na hawa pimbi WA utumishi.Engeneer kachafukwa
Hongera kwa kufanikiwa kuchukua barua ya ajira mzee baba,kapige kazi,umepangiwa dar kwani?Wakuu ndo nimepanda gari kurudi dar huko utumishi na kureport kazini process kubwa sana kichwa kinauma hapa aiseee ngoja nisinzie tu hapa kwenye kiti
😂😂😂😂😂Wanakera Sana hawa pimbi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwaisa , na madesa yote magumu plus vitimbwi vya maprofessor na ugumu WA masomo ya chuo Engineer mzima naletewa kejeli za kiwaki na hawa pimbi WA utumishi .
Aisee narusha bomu la nuclear ofisi za utumishi