Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hello guys..?

Hopes mko wazima, eti how comes kazi za PSRS wanataja relevant qualifications but tangazo la kazi halipo kwenye category yako?

Mfano hizi kazi za WCF wamezotoa wanahitaji Compliance Officer 2 wametaja kozi kama Economics, Marketing, Finance, Social Security Administration, Insurance,Business Administration na equivalent qualifications, je hapa Agricultural Economics hawezi kuomba? Na kama anaweza how maana kwenye category ambayo kozi ya Agricultural Economics inapatikana tangazo alipo.
Hii hauwezi kuomba mkuu
 
Back
Top Bottom