Hizo huu mwezi hauishi lazima watu wakazipiganie Dodoma, wewe jiandae tu ili filimbi ikipigwa usibaki unatoa machozile za MDA&LGA nafasi 1000 till now
kimya karibia miez minne sasa.haloo mtaa unawaka moto sio kwa msoto huu
ushauri mzuri, auzingatieHizo huu mwezi hauishi lazima watu wakazipiganie Dodoma, wewe jiandae tu ili filimbi ikipigwa usibaki unatoa macho
Asije akaanza kuwalaumu utumishi au sio?ushauri mzuri, auzingatie
Kule ukishashika kalamu tayari huna wa kumlaumu maana unajua umekandwa au laAsije akaanza kuwalaumu utumishi au sio?
Kaka nimekutext PM please checkWakuu ndo nimepanda gari kurudi dar huko utumishi na kureport kazini process kubwa sana kichwa kinauma hapa aiseee ngoja nisinzie tu hapa kwenye kiti
NishakujibuKaka nimekutext PM please check
All the best mjumbe wetu....Jamani leo nawaageni rasmi jf nakwenda kuwa mtumishi mwema . tuendelee kupambana kwa mungu yote yanawezekana .tujitahidi kusoma
Hatari sana kaka
Kila kona kibano tu, bora PSRS [emoji1][emoji1] hawana masharti mengi
Mimi Round 1 tu na mimba ikatunga
Wana uhaba wa watendaji, hizi nyomi zinahitaji wachakataji wa kutosha.
Ebu fikiria zile nafasi za Legal zilikuwa zaidi ya 100, na hapo zikiwa nyingi waombaji wanakuwa wengi zaidi kwa sababu kila mtu anakuwa na matumaini ya kupata nafasi kwa kuwa zipo nyingi, mwisho wa siku unakuta maombi mengi sana.
Hahahahaha!Kuna haja ya kudai Ajira ziwe za mkataba jamani ,Kila aliyesoma afaidi keki ya taifa...zile za MDA&LGA nafasi 1000 till now
kimya karibia miez minne sasa.haloo mtaa unawaka moto sio kwa msoto huu
ukipata kazi mkuu utapata nguvu ya kusema hivi?🤣🤣Hahahahaha!Kuna haja ya kudai Ajira ziwe za mkataba jamani ,Kila aliyesoma afaidi keki ya taifa...
Asante sana mkuuDuh! Hongera sana Mkuu.
Utumishi sio poa, nafasi zilikuwa nne tuliingia oral watano cha ajabu wametuchukua watatu.Hongera sana, huenda mlitia fora sana kwenye mahojiano
Hahahahaa, ataleta hoja sheria ibadilishweukipata kazi mkuu utapata nguvu ya kusema hivi?[emoji1787][emoji1787]
Ile nyingine imejazwaje/kapewa na nani?Utumishi sio poa, nafasi zilikuwa nne tuliingia oral watano cha ajabu wametuchukua watatu.
Labda wengine hawakufaulu oral waliyofanyaIle nyingine imejazwaje/kapewa na nani?
Yes...ukipata kazi mkuu utapata nguvu ya kusema hivi?[emoji1787][emoji1787]
Walivurunda oral haoLabda wengine hawakufaulu oral waliyofanya