Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wana uhaba wa watendaji, hizi nyomi zinahitaji wachakataji wa kutosha.

Ebu fikiria zile nafasi za Legal zilikuwa zaidi ya 100, na hapo zikiwa nyingi waombaji wanakuwa wengi zaidi kwa sababu kila mtu anakuwa na matumaini ya kupata nafasi kwa kuwa zipo nyingi, mwisho wa siku unakuta maombi mengi sana.

Aisee hii ni tafakuri sahihi sana Professor.
 
Back
Top Bottom