makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
🙏Pdf loading........30/8/2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏Pdf loading........30/8/2022
Utumishi wapo kweli ofisini Toka tarehe 26[emoji120]
umeuona wapi mkuuNaona mzigo wa MoCU
Katibu Msaidizi wa bungeMkuu nimekubali sana uwasilishaji wako wa hii inshu, vipi kwa hii ya Bunge unawania nafasi gani?
Naona mzigo wa MoCU
AmenCha kuwasiihii ndugu zangu kupambana hususani hizi za bunge mjiandae vyema mno ambao mpo shortlist pia mumtangulize mungu mbele
Tena sio moja ni mbili..taasisi kama zote.. nilikuona hapa utumishi wanataka kumaliza taasisi zote zenye post chachechache then waje kumalizia MIKEKA ya Taifa ambayo ni TRA and MDA's & LGA's..Kuna bonge la shortlist limebandikwaaaa
Cha kuwasiihii ndugu zangu kupambana hususani hizi za bunge mjiandae vyema mno ambao mpo shortlist pia mumtangulize mungu mbele
Katibu Msaidizi wa bunge
Tena sio moja ni mbili..taasisi kama zote.. nilikuona hapa utumishi wanataka kumaliza taasisi zote zenye post chachechache then waje kumalizia MIKEKA ya Taifa ambayo ni TRA and MDA's & LGA's..
Baada watamalizia wa Wizara ya kilimo.. hii MIKEKA mi3 ndo itakuwa ya funga mwaka baada ya kupita hyo MIKEKA yote midogox2
Nimejiona naona itakuwa INTERVIEW yangu ya kwanza Dodoma, lakini kwa lileee nyomi la watu Daaah halafu nafasi ni mbili.Kuna bonge la shortlist limebandikwaaaa
Eti mikeka ya taifaTena sio moja ni mbili..taasisi kama zote.. nilikuona hapa utumishi wanataka kumaliza taasisi zote zenye post chachechache then waje kumalizia MIKEKA ya Taifa ambayo ni TRA and MDA's & LGA's..
Baada watamalizia wa Wizara ya kilimo.. hii MIKEKA mi3 ndo itakuwa ya funga mwaka baada ya kupita hyo MIKEKA yote midogox2
Ni nafasi gani ?Nimejiona naona itakuwa INTERVIEW yangu ya kwanza Dodoma, lakini kwa lileee nyomi la watu Daaah halafu nafasi ni mbili.
Naona uvivu kuji search mfukoni
Kwa Mkemia Mkuu wa Serikari.Ni nafasi gani ?
Maandalizi mema.sisi Bado tunasubili placementsKwa Mkemia Mkuu wa Serikari.