Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duuuh huu mwaka tujitahidi wale wote tunaotaka kuingia kwenye mrija kama Mwifwa anavosema...

Kama serikali akiajiri hizi nafasi, hapa kutoka nyingine mpaka 2025
Nchi ni yetu sote, tunakamuliwa hata pasipo na chuchu. Tuingie tu huko kwenye mirija ili waendeleze cycle yao vizuri ya kutulipa na kutukata hapo hapo kwa matozo yao
 
Hajagongana. Mkeka wa 1 ni tarehe 6 mchujo then tarehe 8 oral.(huu wote utafanyikia Dom)

Mkeka wa 2 ni tarehe 10 mchujo then oral taerehe 12(Huu wote utafanyikia Dar).

Ngoja nijipange nikatupie karata kote, then nature ifanye yake
All the best
 
Back
Top Bottom