Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duh
Watu wanapanikisha wenzao humu, anyways ipo hivi, kuitwa tena sio kwamba umekosa zilizopita, ukishapewa check no na kufanya kazi miezi sita ndo utaacha kuitwa. Nina marafiki zangu watatu, mmoja yupo Halmashauri ndo alipata kazi ila interview za mbele zote aliitwa alizokuwa ameapply ata baada ya kupata kazi, mwingine alipata kazi sehemu mbili, yaan tyar alikuwa ashapata pccb, ila baadae kama week mbili sijui tena, Self Microfinance wakatoa majina nako alipata akachagua tu pccb, hapo kuna rafik angu mwingine pia alikuwa ashafanya oral ya TRA ila shortlist za SELF zilipotoka Written alikuwepo na oral akafanya ila akaja itwa baadae TRA. Kwa hiyo ambao washafanya oral msiwakatishe tu tamaa et kwa kuwa bado wanaitwa means wamekosa. Hiyo account inakaa active kwa miezi 6 kwa hiyo kazi zote ulizoapply utaendelea kuitwa tu na kama kazi uliopo huitaki unaweza endelea fanya tu interview.
Ahsante kwa muongozo mkuu.

Pia ukitaka kuapply wakati tayari ushapata kazi ila bado haijatimia miezi 6 kazini, itahitajika kupewa barua na mwajiri wako? au kwa muda huo hawahitaji barua kutoka kwa mwajiri?
 
Duh! Mkuu, ni kweli kwa namna umebanwa itakuwa ngumu. Hata hilo wazo la kuwaambia maafisa utakaokutana nao kesho ni zuri, lifanyie kazi.
Tatizo lingine pia, written za JKCI(ambayo nimetemwa eti zikaweka cheti cha leseni) na MNH zitafanyika siku moja Dom na Dar. MNH tayari nishapata namba ya Written, sasa hapa kuna mawili, naweza kufuatilia hii ya JKCI ili wakiniita, niweze kuchagua pa kwenda kupiga written(JKCI au MNH).
 
Ahsante kwa muongozo mkuu.

Pia ukitaka kuapply wakati tayari ushapata kazi ila bado haijatimia miezi 6 kazini, itahitajika kupewa barua na mwajiri wako? au kwa muda huo hawahitaji barua kutoka kwa mwajiri?

Swali zuri sana.

Naamini kuna watu haya maswali yanawasaidia sana.

Wengi humu wamejikuta kuna nafasi wameziomba basi tu angalau nyingine zikifeli wasikose kabisa, ila kuna chache ambazo ndizo hasa wanatamani zitiki.
 
Hahaha, ni kweli kabisa Mkuu. Na kitambi sijui ni kwanini huwa kinanipenda japo sikipendi. Huwa natumia nguvu nyingi sana kukikataa.
Mimi pia sikipendi ila mwili wangu tangu utotoni una dalili za kitambi, nisingekimbizwa na mikimiki ya chuo, lile boom lingenipatia kitambi ila haikuwa hivyo.

Sasa nikaingia kitaa nikakutana na ujobless, kitambi kimya[emoji3][emoji3]

Huu mrija wa Asali ninaousaka ukitiki unaweza kuniletea Kitambi
 
Tatizo lingine pia, written za JKCI(ambayo nimetemwa eti zikaweka cheti cha leseni) na MNH zitafanyika siku moja Dom na Dar. MNH tayari nishapata namba ya Written, sasa hapa kuna mawili, naweza kufuatilia hii ya JKCI ili wakiniita, niweze kuchagua pa kwenda kupiga written(JKCI au MNH).

Hahaha, hapo kweli ni tatizo. Kama saili zitagongana nashauri fanya maamuzi kwanza ili kama hiyo unayotaka kuifuatilia utapenda uihudhurie ndipo uifuatilie tofauti na hapo ipotezee tu.
 
Swali zuri sana.

Naamini kuna watu haya maswali yanawasaidia sana.

Wengi humu wamejikuta kuna nafasi wameziomba basi tu angalau nyingine zikifeli wasikose kabisa, ila kuna chache ambazo ndizo hasa wanatamani zitiki.
Tuendelee kunyumbua mambo hapa ili tuweze kujibu duku duku mbalimbali kuhusu hawa Utumishi
 
Mimi pia sikipendi ila mwili wangu tangu utotoni una dalili za kitambi, nisingekimbizwa na mikimiki ya chuo, lile boom lingenipatia kitambi ila haikuwa hivyo.

Sasa nikaingia kitaa nikakutana na ujobless, kitambi kimya[emoji3][emoji3]

Huu mrija wa Asali ninaousaka ukitiki unaweza kuniletea Kitambi

Hahaha, wewe mwenye asili ya kitambi kukikwepa utateseka zaidi yangu. Mimi ukubwani sijui nilifanya makosa wapi, hata nikiwa nakula vyakula vya kawaida sana kinaweza kuja muda wowote kikijisikia na bila taarifa.
 
Hahaha, hapo kweli ni tatizo. Kama saili zitagongana nashauri fanya maamuzi kwanza ili kama hiyo unayotaka kuifuatilia utapenda uihudhurie ndipo uifuatilie tofauti na hapo ipotezee tu.
Hii ya JKCI naona ni hotcake ukilinganisha na MNH.

Pia JKCI itafanyikia Dar(sitapata usumbufu wa kusafiri) ila MNH inafanyikia Dom(ila ushindani sio kivile maana tumeitwa wachache ukilinganisha na JKCI)
 
Hahaha, wewe mwenye asili ya kitambi kukikwepa utateseka zaidi yangu. Mimi ukubwani sijui nilifanya makosa wapi, hata nikiwa nakula vyakula vya kawaida sana kinaweza kuja muda wowote kikijisikia na bila taarifa.
Ngoja nisubiri mrija wa Asali baada ya mapambano nione kitakavyokuja.

Uzuri mimi sio mnalaji wa junk foods haitaniwia ugumu kukidhibiti
 
Ahsante kwa muongozo mkuu.

Pia ukitaka kuapply wakati tayari ushapata kazi ila bado haijatimia miezi 6 kazini, itahitajika kupewa barua na mwajiri wako? au kwa muda huo hawahitaji barua kutoka kwa mwajiri?
Hapa sijajua, ila nina ushuhuda pia, kuna rafiki angu alipata TRA hizi za mwezi wa nne ila ye anakopenda ni EGA, so juz juz kaja kufanya interview ya EGA maana aliapply na akaitwa. Kaja bila barua ya mwajiri na ninavyoona miez sita bado. Though unaweza kumuinform mwajiri kihekima ila hapo siwez ongelea zaidi. Kikubwa tuombeane tu maana mm interview zote nlizotakiwa kufanya na marafiki zangu nlizinguliwa chet cha kuzaliwa[emoji2]. Na wote wamepata
 
Hii ya JKCI naona ni hotcake ukilinganisha na MNH.

Pia JKCI itafanyikia Dar(sitapata usumbufu wa kusafiri) ila MNH inafanyikia Dom(ila ushindani sio kivile maana tumeitwa wachache ukilinganisha na JKCI)

Hapa kweli kuna changamoto Mkuu, endelea kucheza karata zako vizuri. Naamini utafanya maamuzi sahihi.
 
Join us tujadili na Kupeana ajira, connection pamoja
 
Kuna wa Muhimbili nilifanyaga nao saili hadi oral mwezi June na kuna rangazo jengine limetoka na huenda wameitwa jee kama placement ya nyuma yupo na hii pia akafanya vyema,,,Kwahiyo itakuaje au ataitwa tena na tena?
Hivi mbona UDSM na SUA hawajaitwa interview Hadi leo.. naona vyuo kibao mambo hadharani.. Hz received huku kwenye Account zinachosha jamani duuuh
 
Back
Top Bottom