makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Wataita tu mkuu usiwaze lazima waiteHivi mbona UDSM na SUA hawajaitwa interview Hadi leo.. naona vyuo kibao mambo hadharani.. Hz received huku kwenye Account zinachosha jamani duuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataita tu mkuu usiwaze lazima waiteHivi mbona UDSM na SUA hawajaitwa interview Hadi leo.. naona vyuo kibao mambo hadharani.. Hz received huku kwenye Account zinachosha jamani duuuh
Ndo hicho nlichomaanisha mkuuUko vizuri mkuu, kama ni hivyo hili suala la kuzibia riziki nimeanza kulielewa.
Imagine kila ukiwa selected, yule wa chini ya mstari wa selected umekuwa umemzibia nafasi ya kwenda oral.
Wewe ndo umeeleweka kaka.. shukranDuh
Watu wanapanikisha wenzao humu, anyways ipo hivi, kuitwa tena sio kwamba umekosa zilizopita, ukishapewa check no na kufanya kazi miezi sita ndo utaacha kuitwa. Nina marafiki zangu watatu, mmoja yupo Halmashauri ndo alipata kazi ila interview za mbele zote aliitwa alizokuwa ameapply ata baada ya kupata kazi, mwingine alipata kazi sehemu mbili, yaan tyar alikuwa ashapata pccb, ila baadae kama week mbili sijui tena, Self Microfinance wakatoa majina nako alipata akachagua tu pccb, hapo kuna rafik angu mwingine pia alikuwa ashafanya oral ya TRA ila shortlist za SELF zilipotoka Written alikuwepo na oral akafanya ila akaja itwa baadae TRA. Kwa hiyo ambao washafanya oral msiwakatishe tu tamaa et kwa kuwa bado wanaitwa means wamekosa. Hiyo account inakaa active kwa miezi 6 kwa hiyo kazi zote ulizoapply utaendelea kuitwa tu na kama kazi uliopo huitaki unaweza endelea fanya tu interview.
Mkuu, hv Profile ya Ajira portal Ikiwa na 100% inakupa nafasi kubwa ya kuajiriwa kama umefanya saili Hadi Oral compared na yule mwenye asilimia chache kama 90 kushuka chini..?Hapa placement namini itapunguza jam katika Kada nyinginezo
Penginepo utakuja kuwa boss mkubwa hapo baadaeHahaha, ni kweli kabisa Mkuu. Na kitambi sijui ni kwanini huwa kinanipenda japo sikipendi. Huwa natumia nguvu nyingi sana kukikataa.
Mmh hilo sija kuwa na experience nalo ila sidhani kama ndiyo sababu ya kuajiriwa mimi nadhani ukishakidhi vigezo vya kuaplly kazi imeisha kinachofwata writen na oral kufaulu kwako tuMkuu, hv Profile ya Ajira portal Ikiwa na 100% inakupa nafasi kubwa ya kuajiriwa kama umefanya saili Hadi Oral compared na yule mwenye asilimia chache kama 90 kushuka chini..?
Ok.. maana naona tu Kuna disparities kati ya profile la Huyu na yule Sasa nikataka nijue kama Zina impacts yoyote kwenye mambo ya kupata hii Mirija ya asaliMmh hilo sija kuwa na experience nalo ila sidhani kama ndiyo sababu ya kuajiriwa mimi nadhani ukishakidhi vigezo vya kuaplly kazi imeisha kinachofwata writen na oral kufaulu kwako tu
SUA mbona washaita mwezi uliopita,au wewe hukupata taarifa? au nafasi uliyoomba ndio bado hawajaita?Hivi mbona UDSM na SUA hawajaitwa interview Hadi leo.. naona vyuo kibao mambo hadharani.. Hz received huku kwenye Account zinachosha jamani duuuh
Hapana wapo wenye 100% na huenda wakapigwa chini na waliochini ya hiyo hicho kisikupe preshaOk.. maana naona tu Kuna disparities kati ya profile la Huyu na yule Sasa nikataka nijue kama Zina impacts yoyote kwenye mambo ya kupata hii Mirija ya asali
Hiyo profile inaonesha tu ukamilifu wa details ulizojaza.Ok.. maana naona tu Kuna disparities kati ya profile la Huyu na yule Sasa nikataka nijue kama Zina impacts yoyote kwenye mambo ya kupata hii Mirija ya asali
SUA walitangaza MIKEKA miwili,,, So huo mwingine wa 2 hawajatoa Hadi leoSUA mbona washaita mwezi uliopita,au wewe hukupata taarifa? au nafasi uliyoomba ndio bado hawajaita?
Sawa makofia360 tuko pamojaHapana wapo wenye 100% na huenda wakapigwa chini na waliochini ya hiyo hicho kisikupe presha
Ahsante kwa kushare, humu ndio salama zaidi ya huko.![]()
HR Tanzania
Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Cryptot.me
Join HR TANZANIA TUSHEE AJIRA, ELIMU NA FURSA ZA KAZI, USAILI NK. NA WENGINE
Kama mimi hapa, profile iko full 100% ila hadi nakuwa rejected kwa sababu isiyokuwa na msingiHapana wapo wenye 100% na huenda wakapigwa chini na waliochini ya hiyo hicho kisikupe presha
Usharudi mjini au upo Dom tena kusaka tonge jingineAhsante kwa kushare, humu ndio salama zaidi ya huko.
Hapa wanasoma watu wengi na itaendelea kuwepo kwa faida ya vizazi vijavyo.
Ndo walikukataa kwakuwa hukwenda kwa Hakimu kucertify boss..?Kama mimi hapa, profile iko full 100% ila hadi nakuwa rejected kwa sababu isiyokuwa na msingi
Sawa mkuu but it's just kotekote tunashare mkuu, kwahiyo it's just we balance tuliopo humu na ambao hawapo humuAhsante kwa kushare, humu ndio salama zaidi ya huko.
Hapa wanasoma watu wengi na itaendelea kuwepo kwa faida ya vizazi vijavyo.
Mimi ni dada jamani[emoji23]Wewe ndo umeeleweka kaka.. shukran