Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duh
Watu wanapanikisha wenzao humu, anyways ipo hivi, kuitwa tena sio kwamba umekosa zilizopita, ukishapewa check no na kufanya kazi miezi sita ndo utaacha kuitwa. Nina marafiki zangu watatu, mmoja yupo Halmashauri ndo alipata kazi ila interview za mbele zote aliitwa alizokuwa ameapply ata baada ya kupata kazi, mwingine alipata kazi sehemu mbili, yaan tyar alikuwa ashapata pccb, ila baadae kama week mbili sijui tena, Self Microfinance wakatoa majina nako alipata akachagua tu pccb, hapo kuna rafik angu mwingine pia alikuwa ashafanya oral ya TRA ila shortlist za SELF zilipotoka Written alikuwepo na oral akafanya ila akaja itwa baadae TRA. Kwa hiyo ambao washafanya oral msiwakatishe tu tamaa et kwa kuwa bado wanaitwa means wamekosa. Hiyo account inakaa active kwa miezi 6 kwa hiyo kazi zote ulizoapply utaendelea kuitwa tu na kama kazi uliopo huitaki unaweza endelea fanya tu interview.
Wewe ndo umeeleweka kaka.. shukran
 
Mkuu, hv Profile ya Ajira portal Ikiwa na 100% inakupa nafasi kubwa ya kuajiriwa kama umefanya saili Hadi Oral compared na yule mwenye asilimia chache kama 90 kushuka chini..?
Mmh hilo sija kuwa na experience nalo ila sidhani kama ndiyo sababu ya kuajiriwa mimi nadhani ukishakidhi vigezo vya kuaplly kazi imeisha kinachofwata writen na oral kufaulu kwako tu
 
Mmh hilo sija kuwa na experience nalo ila sidhani kama ndiyo sababu ya kuajiriwa mimi nadhani ukishakidhi vigezo vya kuaplly kazi imeisha kinachofwata writen na oral kufaulu kwako tu
Ok.. maana naona tu Kuna disparities kati ya profile la Huyu na yule Sasa nikataka nijue kama Zina impacts yoyote kwenye mambo ya kupata hii Mirija ya asali
 

Join HR TANZANIA TUSHEE AJIRA, ELIMU NA FURSA ZA KAZI, USAILI NK. NA WENGINE
 

Join HR TANZANIA TUSHEE AJIRA, ELIMU NA FURSA ZA KAZI, USAILI NK. NA WENGINE
Ahsante kwa kushare, humu ndio salama zaidi ya huko.

Hapa wanasoma watu wengi na itaendelea kuwepo kwa faida ya vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom