Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oya wakuu Hivi haya maswali ya written interviews ujibuji wake ni kama wa class tu au Kuna namna yake ya ujibuji, MFANO ukaulizwa "what are the duties of a Psychiatrist to a patient" au "Distinguish between sociopath and Psychopath" I mean haya maswali ukiulizwa Hivi unashuka nayo kwa essay au ? Au unaenda straight tu na kumalizia kazi.


Imenibidi niulize maana nimefanya written interview yangu ya kwanza, karibia Pepa yote nilikuwa naijuwa na nikajieleza kwa kwenda straight to na maswali yalikuwa katika mfumo huo niliyowaekea hapo ila Sasa matokeo yalivyotoka nimekuwa na performance mbaya sana hata sijategemea.


Wakuu ambao mlitoboaga Pepa za written za explanation vipi nyie mlitoboaje, naomba muongozo wadau nidije kufanya MAKOSA mengine asee.
Tusubiri muongozo mkuu maana mwenyewe nazidi kudidimia.
 
Kutokana na muda wa kufanya mtihani ni dk 40 hadi 60, na muda wa kusahihisha mitihani, kupanga matokeo kwa kila kada na hadi kutoa matokeo ya written pia ni mchache. Hivyo basi yakupaswa kujibu swali moja kwa moja pasipo kuzunguka na ndio maana hutoa karatasi moja tu ya kujibia, hii tafsiri yake ni kuwa hawahitaji maneno mengi kwenye jibu lako. Ingawa pia si kosa kutumia karatasi mbili, ila mambo yasiwe mengi.

Wengine wanaweza wakaja kueleza zaidi.

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Poa poa mkuu
 
Naomba kuuliza. Hivi marks za mtihani wa written na za oral huwa zinajumuishwa kumtambua mtu aliyepata kazi au huwa kila moja inajitegemea?
 
Kutokana na muda wa kufanya mtihani ni dk 40 hadi 60, na muda wa kusahihisha mitihani, kupanga matokeo kwa kila kada na hadi kutoa matokeo ya written pia ni mchache. Hivyo basi yakupaswa kujibu swali moja kwa moja pasipo kuzunguka na ndio maana hutoa karatasi moja tu ya kujibia, hii tafsiri yake ni kuwa hawahitaji maneno mengi kwenye jibu lako. Ingawa pia si kosa kutumia karatasi mbili, ila mambo yasiwe mengi.

Wengine wanaweza wakaja kueleza zaidi.

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Una uzoefu kwa kufika oral kwenye saili za utumishi??
 
Msaada Profile Passport size/picha Inashindwa ku- upload kwenye ajira portal inachukua muda mrefu na kufail nafanyaje?

Mkuu, jaribu kuangalia kipimo cha pasipoti saizi unayopandisha kama kinaendana na kinachohitajika.

Hata hivyo usisahau kukagua kama kiwango cha kasi ya intaneti kinaruhusu kupandisha kitu.

Mwisho kabisa, kama yote mawili hayajasaidia, endelea kurudia rudia kila baada ya kipindi fulani cha muda.
 
Ndugu zangu

Baada ya kupata namba ya ERB na kujisajili full ajira portal
Nikaenda kuangalia matokeo ya kada yangu waliopita written interview. Ili na mimi nijue naanzia wapi.

Nakuta cut off point ilikuwa 84.2% nikasema labda pepa ilikuwa rahisi.Japokuwa kuna mwamba aligonga 5%. Hii ilikuwa PURA

Jana tena cut off point nakuta ni 90%,wakubwa mbona niliingiwa na hofu pamoja na ubaridi sana.Pepa hazivuji kweli hizi,maana 90% ni nyingi sana. Hii ilikuwa ERB.

Wakati mimi mara ya mwisho kupata hizo maksi ni Advance.
Mimi nina hisi,hizi pepa zimeanza kuvuja kama ile pepa ya TRA.

Au nyie mnaonaje wakuu? Kutoboa mbona naona ni kipengele sana.
View attachment 2354205View attachment 2354206
Hahahhaa, kakandwe(kajaribu kufanya) kwanza uone mbivu na mbichi.
 
Ndugu zangu

Baada ya kupata namba ya ERB na kujisajili full ajira portal
Nikaenda kuangalia matokeo ya kada yangu waliopita written interview. Ili na mimi nijue naanzia wapi.

Nakuta cut off point ilikuwa 84.2% nikasema labda pepa ilikuwa rahisi.Japokuwa kuna mwamba aligonga 5%. Hii ilikuwa PURA

Jana tena cut off point nakuta ni 90%,wakubwa mbona niliingiwa na hofu pamoja na ubaridi sana.Pepa hazivuji kweli hizi,maana 90% ni nyingi sana. Hii ilikuwa ERB.

Wakati mimi mara ya mwisho kupata hizo maksi ni Advance.
Mimi nina hisi,hizi pepa zimeanza kuvuja kama ile pepa ya TRA.

Au nyie mnaonaje wakuu? Kutoboa mbona naona ni kipengele sana.
View attachment 2354205View attachment 2354206

Hii sasa ni hatari, hizo alama zinafanya watu wajihisi kama wamerudi kuwa wanafunzi tena.
 
Ndugu zangu

Baada ya kupata namba ya ERB na kujisajili full ajira portal
Nikaenda kuangalia matokeo ya kada yangu waliopita written interview. Ili na mimi nijue naanzia wapi.

Nakuta cut off point ilikuwa 84.2% nikasema labda pepa ilikuwa rahisi.Japokuwa kuna mwamba aligonga 5%. Hii ilikuwa PURA

Jana tena cut off point nakuta ni 90%,wakubwa mbona niliingiwa na hofu pamoja na ubaridi sana.Pepa hazivuji kweli hizi,maana 90% ni nyingi sana. Hii ilikuwa ERB.

Wakati mimi mara ya mwisho kupata hizo maksi ni Advance.
Mimi nina hisi,hizi pepa zimeanza kuvuja kama ile pepa ya TRA.

Au nyie mnaonaje wakuu? Kutoboa mbona naona ni kipengele sana.
View attachment 2354205View attachment 2354206
Kuna namna watu nahisi wanapata maswali
 
Ndugu zangu

Baada ya kupata namba ya ERB na kujisajili full ajira portal
Nikaenda kuangalia matokeo ya kada yangu waliopita written interview. Ili na mimi nijue naanzia wapi.

Nakuta cut off point ilikuwa 84.2% nikasema labda pepa ilikuwa rahisi.Japokuwa kuna mwamba aligonga 5%. Hii ilikuwa PURA

Jana tena cut off point nakuta ni 90%,wakubwa mbona niliingiwa na hofu pamoja na ubaridi sana.Pepa hazivuji kweli hizi,maana 90% ni nyingi sana. Hii ilikuwa ERB.

Wakati mimi mara ya mwisho kupata hizo maksi ni Advance.
Mimi nina hisi,hizi pepa zimeanza kuvuja kama ile pepa ya TRA.

Au nyie mnaonaje wakuu? Kutoboa mbona naona ni kipengele sana.
View attachment 2354205View attachment 2354206
Hahahahaha!Dah Kuna haja ya kuajiriwa tuu ,bila kufanyiwa interview [emoji3][emoji3][emoji3],Kuna mtu hapo akijitahidi sana 45 mpaka 50,huyu Hela zake za kwenda Dodoma zitakwisha tuu na hakuna la maana anapata huko kwenye usahili...
 
Nauli ya kwenda na kurudi tu unaipata kwa shida sana.
Bado unakutana na pepa jiwe.

Mimi siku nikiitwa,jumapili yake naenda kukanyaga kisima cha Nabii Suguye.

Nikitoka naenda kununua mafuta ya upako,kitambaa chake hadi sabuni yake.

Halafu naenda na kitambaa cha nabii Geo Davies wa Arusha nikiwa najifuta jasho.

Hapo bibi yangu wa kijijini namuweka kama sub vile.
Tuone sasa kama watachomoka.

Ila 90% nyingi sana Kaka. Mimi siamini bado,kuna namna itakuwepo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hiyo sub ni komesha kabisa
 
Oya wakuu Hivi haya maswali ya written interviews ujibuji wake ni kama wa class tu au Kuna namna yake ya ujibuji, MFANO ukaulizwa "what are the duties of a Psychiatrist to a patient" au "Distinguish between sociopath and Psychopath" I mean haya maswali ukiulizwa Hivi unashuka nayo kwa essay au ? Au unaenda straight tu na kumalizia kazi.


Imenibidi niulize maana nimefanya written interview yangu ya kwanza, karibia Pepa yote nilikuwa naijuwa na nikajieleza kwa kwenda straight to na maswali yalikuwa katika mfumo huo niliyowaekea hapo ila Sasa matokeo yalivyotoka nimekuwa na performance mbaya sana hata sijategemea.


Wakuu ambao mlitoboaga Pepa za written za explanation vipi nyie mlitoboaje, naomba muongozo wadau nidije kufanya MAKOSA mengine asee.
niliona ile marking scheme ya pepa ilovuja ya tra majib n short and clear hakuna easay hapo
kuna mwanangu pia alifika oral alikua anajib maelezo mengi wakamwmbia just menthion tu
 
Nauli ya kwenda na kurudi tu unaipata kwa shida sana.
Bado unakutana na pepa jiwe.

Mimi siku nikiitwa,jumapili yake naenda kukanyaga kisima cha Nabii Suguye.

Nikitoka naenda kununua mafuta ya upako,kitambaa chake hadi sabuni yake.

Halafu naenda na kitambaa cha nabii Geo Davies wa Arusha nikiwa najifuta jasho.

Hapo bibi yangu wa kijijini namuweka kama sub vile.
Tuone sasa kama watachomoka.

Ila 90% nyingi sana Kaka. Mimi siamini bado,kuna namna itakuwepo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa unachekesha sana ,ikishindikana na hapo bac utakuwa una mikosi ya Raila odinga
 
Hivi kwa mwenye experience mfano umepata nafasi ya kazi (Utumishi) ikakutaka ndani ya siku 14 uwe umewasili kwa mwajiri hukufanya hivyo na nimuajiriwa tayari ulitaka kuhama idara. barua ya mwajiri wako wa awali anakupa zegwe kukupa barua na siku zimeisha hadi wenzako cheque number wamepatiwa na maelekezo yote ya utumishi vipi hapo nafasi anayo tena au inarudi Utumishi?
 
Back
Top Bottom