Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kada ya Afya mkuuAiseh pole Sana kk safari bado inaendelea, ni kada ipi uko kwani
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kada ya Afya mkuuAiseh pole Sana kk safari bado inaendelea, ni kada ipi uko kwani
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tuendelee kupambana mkuuNilishakandwa mkuu.
Maisha mengine yaendelee
Duh! Hizi kada za afya ngumu sana mambo ya kujitungia hakuna nishaona hapa ila ndo hivyo Tena mkuu material unayakumbuka mdogo mdogo ipo siku utapiga maks mpka ushangae kikubwa uzimaNishakandwa na kukatiwa tiketi ndugu yangu, leo nitakuwa road kurudi nyumbani.
Written 3, sijafika oral hata moja, bad and poor performance.
Written ya 3 nimeimprove ingawa cut off hazijafika, nimekosa marks 3
Ugumu wa interview za afya majibu huwa yanatakiwa yafanane kabisa na marking scheme huwezi kutunga jibuDuh! Hizi kada za afya ngumu sana mambo ya kujitungia hakuna nishaona hapa ila ndo hivyo Tena mkuu material unayakumbuka mdogo mdogo ipo siku utapiga maks mpka ushangae kikubwa uzima
Hapo ndo shida Sasa ni kukandwa tu mpka siku kichwa kikae sawaUgumu wa interview za afya majibu huwa yanatakiwa yafanane kabisa na marking scheme huwezi kutunga jibu
😂😂😂😂daaah hatari sanaHapo ndo shida Sasa ni kukandwa tu mpka siku kichwa kikae sawa
😂😂😂😂Hata nauli tu za utumishi hatuna mkuu tutaweza kununua kweli?Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502View attachment 2368419
Jobless nitoke wapi milion aiseeeHisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502View attachment 2368419
Milion jobless anatoa wap Sasa jamani mbona mateso😂😂😂😂Hata nauli tu za utumishi hatuna mkuu tutaweza kununua kweli?
Asubiri tupate kaziMilion jobless anatoa wap Sasa jamani mbona mateso
Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.Duh! Hizi kada za afya ngumu sana mambo ya kujitungia hakuna nishaona hapa ila ndo hivyo Tena mkuu material unayakumbuka mdogo mdogo ipo siku utapiga maks mpka ushangae kikubwa uzima
Kaibe[emoji23]Jobless nitoke wapi milion aiseee
Usikate tamaa mkuu mbona sie tupo Toka mda na utumishi wanatukanda tu na kwenda kote oral ila Bado bila bila ipo siku yetu tutatoboaTuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.
Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.
Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.
Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
Kama ulivyoiba hiyo TV? wewe panya road tv ya kuiba then uniuzie million unakichaa kweli mwizi weweKaibe[emoji23]
Swali moja naona limenicost maana hilo swali nilikuwa silijui, lilihitaji kutaja steps ambazo huwezi kutunga concepts. Walau hilo swali ningepata hata marks 3 ningefikisha cut off point.Ugumu wa interview za afya majibu huwa yanatakiwa yafanane kabisa na marking scheme huwezi kutunga jibu
Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.
Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.
Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.
Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
Hapo ndo huwa shida lakini haikuwa yako hiyo ipo yakwako inakuja mkuuSwali moja naona nimelicost maana hilo swali nilikuwa silijui, lilihitaji kutaja steps ambazo huwezi kutunga concepts. Walau hilo swali ningepata hata marks 3 ningefikisha cut off point.
Ahsante kwa kupost ila unatufanyia joking jobless tuliopo humu.Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502View attachment 2368419
Sawa mkuu, tuendelee kuomba uzima na afya njema piaUsikate tamaa mkuu mbona sie tupo Toka mda na utumishi wanatukanda tu na kwenda kote oral ila Bado bila bila ipo siku yetu tutatoboa