Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nishakandwa na kukatiwa tiketi ndugu yangu, leo nitakuwa road kurudi nyumbani.

Written 3, sijafika oral hata moja, bad and poor performance.

Written ya 3 nimeimprove ingawa cut off hazijafika, nimekosa marks 3
Duh! Hizi kada za afya ngumu sana mambo ya kujitungia hakuna nishaona hapa ila ndo hivyo Tena mkuu material unayakumbuka mdogo mdogo ipo siku utapiga maks mpka ushangae kikubwa uzima
 
Duh! Hizi kada za afya ngumu sana mambo ya kujitungia hakuna nishaona hapa ila ndo hivyo Tena mkuu material unayakumbuka mdogo mdogo ipo siku utapiga maks mpka ushangae kikubwa uzima
Ugumu wa interview za afya majibu huwa yanatakiwa yafanane kabisa na marking scheme huwezi kutunga jibu
 
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502
1664170411570.jpg
 
Duh! Hizi kada za afya ngumu sana mambo ya kujitungia hakuna nishaona hapa ila ndo hivyo Tena mkuu material unayakumbuka mdogo mdogo ipo siku utapiga maks mpka ushangae kikubwa uzima
Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.

Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.

Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.

Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
 
Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.

Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.

Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.

Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
Usikate tamaa mkuu mbona sie tupo Toka mda na utumishi wanatukanda tu na kwenda kote oral ila Bado bila bila ipo siku yetu tutatoboa
 
Ugumu wa interview za afya majibu huwa yanatakiwa yafanane kabisa na marking scheme huwezi kutunga jibu
Swali moja naona limenicost maana hilo swali nilikuwa silijui, lilihitaji kutaja steps ambazo huwezi kutunga concepts. Walau hilo swali ningepata hata marks 3 ningefikisha cut off point.
 
Usikate tamaa kiongozi kuna interview nilipiga nikafeli na nilikuja jf humu kuomba muongozo kabla sijaenda kwenye hiyo interview lakini majibu niliyopewa humu yalinikatisha sana tamaa lakini baada ya hapo niliuifunza aliyenacho haonagi maumivu ya asiyenacho kwahiyo mkuu usikate tamaa tupambane tu
Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.

Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.

Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.

Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
 
Swali moja naona nimelicost maana hilo swali nilikuwa silijui, lilihitaji kutaja steps ambazo huwezi kutunga concepts. Walau hilo swali ningepata hata marks 3 ningefikisha cut off point.
Hapo ndo huwa shida lakini haikuwa yako hiyo ipo yakwako inakuja mkuu
 
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502View attachment 2368419
Ahsante kwa kupost ila unatufanyia joking jobless tuliopo humu.

Ungejua tunavyolala kwenye room za buku 5 hadi 7 huku maliwato tukitumia za jirani na room, ungejua hali jobless wanayoipitia
 
Back
Top Bottom