meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Mkuu ki kawaida mie Muongo sana ukinihoji kwa kwa English so nitajibu maswali yote Tena haraka mpaka unayeandika utajikuta umeandika point nusu nusu so oral zote mbili nilizofanya nilijibu maswali yote na niliyokosa majibu nayajua ila nilitembeza uongo tu mpka point zote ziishe na hata sikwami kwami huwa simalizi dakika kumi mie mkuu nishatoka.Sasa tupe muongozo oral ulijibu maswali yote?tena kwa usahihi au vipi?
NOTE: usije ukachukua hii nawe ukajibu chapu then point wakawa hawazipati kamili Ika kucost ila kama unaona itasaidia we chukua hiyo technic ila uwe unajua English ya uongo
So kujibu swali lako ni Kuwa najibu maswali yote ila kama moja au mawili huwa majibu siyaamini sana