Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sasa tupe muongozo oral ulijibu maswali yote?tena kwa usahihi au vipi?
Mkuu ki kawaida mie Muongo sana ukinihoji kwa kwa English so nitajibu maswali yote Tena haraka mpaka unayeandika utajikuta umeandika point nusu nusu so oral zote mbili nilizofanya nilijibu maswali yote na niliyokosa majibu nayajua ila nilitembeza uongo tu mpka point zote ziishe na hata sikwami kwami huwa simalizi dakika kumi mie mkuu nishatoka.

NOTE: usije ukachukua hii nawe ukajibu chapu then point wakawa hawazipati kamili Ika kucost ila kama unaona itasaidia we chukua hiyo technic ila uwe unajua English ya uongo
So kujibu swali lako ni Kuwa najibu maswali yote ila kama moja au mawili huwa majibu siyaamini sana
 
Mkuu ki kawaida mie Muongo sana ukinihoji kwa kwa English so nitajibu maswali yote Tena haraka mpaka unayeandika utajikuta umeandika point nusu nusu so oral zote mbili nilizofanya nilijibu maswali yote na niliyokosa majibu nayajua ila nilitembeza uongo tu mpka point zote ziishe na hata sikwami kwami huwa simalizi dakika kumi mie mkuu nishatoka.

NOTE: usije ukachukua hii nawe ukajibu chapu then point wakawa hawazipati kamili Ika kucost ila kama unaona itasaidia we chukua hiyo technic ila uwe unajua English ya uongo
So kujibu swali lako ni Kuwa najibu maswali yote ila kama moja au mawili huwa majibu siyaamini sana
😂😂😂😂😂😂Nimekupata mkuu sema tatzo field yangu ni ngumu sana kudanganya hainaga jibu lakutunga hahhhh
 
#Wadau nami ipo siku jina langu litaappear kwa mkekawa Placement PSRS na nitakuja kuwaambia hapa tena nikiwa nimepata kazi kwenye Taasisi nzuri tu..
MUNGU NDIO KILA KITU IPO SIKU HAUSLTLING ZETU ATAZIONA NA KUZIBARIKI.
Tuseme INSHALLAH......🙏🙏🙏🙏
 
#Wadau nami ipo siku jina langu litaappear kwa mkekawa Placement PSRS na nitakuja kuwaambia hapa tena nikiwa nimepata kazi kwenye Taasisi nzuri tu..
MUNGU NDIO KILA KITU IPO SIKU HAUSLTLING ZETU ATAZIONA NA KUZIBARIKI.
Tuseme INSHALLAH......[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Inshalah

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ki kawaida mie Muongo sana ukinihoji kwa kwa English so nitajibu maswali yote Tena haraka mpaka unayeandika utajikuta umeandika point nusu nusu so oral zote mbili nilizofanya nilijibu maswali yote na niliyokosa majibu nayajua ila nilitembeza uongo tu mpka point zote ziishe na hata sikwami kwami huwa simalizi dakika kumi mie mkuu nishatoka.

NOTE: usije ukachukua hii nawe ukajibu chapu then point wakawa hawazipati kamili Ika kucost ila kama unaona itasaidia we chukua hiyo technic ila uwe unajua English ya uongo
So kujibu swali lako ni Kuwa najibu maswali yote ila kama moja au mawili huwa majibu siyaamini sana
Sawa Sawa mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapa sitatoka mkuu mie nitakuwepo kuwapa moyo wenzangu tusiokuwa na connection tupambane mkuu naanza na wewe mkuu usikate tamaa soma hizo theory na terminology mkuu maana ndo maswali ya utumishi komaa nayo unaweza Tenga hata dakika 20 kwa siku inatosha kupitia pitia hata vi types vya viruses
Sawa mkuu ahsante kwa muongozo.

Tatizo kusoma hivi hivi bila kuwa external force huwa madude hayapandi aisee
 
Mkuu ki kawaida mie Muongo sana ukinihoji kwa kwa English so nitajibu maswali yote Tena haraka mpaka unayeandika utajikuta umeandika point nusu nusu so oral zote mbili nilizofanya nilijibu maswali yote na niliyokosa majibu nayajua ila nilitembeza uongo tu mpka point zote ziishe na hata sikwami kwami huwa simalizi dakika kumi mie mkuu nishatoka.

NOTE: usije ukachukua hii nawe ukajibu chapu then point wakawa hawazipati kamili Ika kucost ila kama unaona itasaidia we chukua hiyo technic ila uwe unajua English ya uongo
So kujibu swali lako ni Kuwa najibu maswali yote ila kama moja au mawili huwa majibu siyaamini sana
Hiyo haraka haraka tuombe Mungu usije ukaitumie huko kazini[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom