Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Vijana mnaotafuta kazi msichoke kupambana kutafuta kazi,na pia acheni kulalamika mnapoona mchakato wa kuitwa kwenye Interview au kuitwa kazini umechelewa,nimeona majina ya kuitwa kazini BUNGE ambapo mchakato wa Usaili ulifanyika mwezi uliopita tu,ni vizuri kutumia muda vizuri kujiandaa kwa Usaili KULIKO kutumia muda JF kufungua Nyuzi za kulalamika mchakato wa Usaili au kuitwa kazini kuchelewa,PSRS ni Taasisi inayofanya kazi kwa taratibu na si kwa pressure za JF,vijana mliopata nafasi Bunge na Taasisi nyingine HONGERENI na mkafanye kazi
Dr kunawatu wamefanya Oral tok June... ndio maana wakauliza humu kwa wana.. kama kuuliza kitu imekuwa ujinga sawa..
maana kutoka june 18 mpk leo ni siku krb na 100...
 
Dr kunawatu wamefanya Oral tok June... ndio maana wakauliza humu kwa wana.. kama kuuliza kitu imekuwa ujinga sawa..
maana kutoka june 18 mpk leo ni siku krb na 100...
Umeuliza vyema katika hizi purukushani kuingia oral ni sawa umeingia fainali katika ushindani sasa mawazo,na subra ndefu kupita kiasi kuna zidi kuwaharibu vijana katika kufanya mambo mengine ingawaje inatambulika kuna kupata na kokosa pia,,,Pia inazidi kuwachanganya mno kuona waliotangulia wanachelewa kupata matokeo hawa wajuzi juzi yao yanatoka kwa haraka zaidi
 
Mtoto wa kabudi hata TPA alikuwa shortlisted lakini alipigwa na mchanga wa pwani
Utumishi hawaangalii status Bali brain kichwani
Huyo ni suala la muda tu, na usikute iko mahususi ili kuwafurahisha Wadanganyika wengi kuwa hata kijana mzee wa ikulu nae anasota. Kuna muda utashangaa tu yupo kitengo.

Mark my words
.
 
Jumanne ya mwezi September inaondokaaa taratiiiiibu,,,,,,,,,,Bila buguza niko hapa napata Gahawa hukuna mwenye dodoso za placement za kushushia Gahawa hapa.......
 
Back
Top Bottom