Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Sawa mkuu, ngoja tuisubiri. Kikubwa waniite kwenye mkando tukamalizane kuhusu lawamaHii unaenda mara nyingi huwa wanataka watu wa phamacy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, ngoja tuisubiri. Kikubwa waniite kwenye mkando tukamalizane kuhusu lawamaHii unaenda mara nyingi huwa wanataka watu wa phamacy
Ndio maana nasema kuitwa vigumuDuh,sio poa mkuu
Hahahahaaa, omba mkuu hata kama huna hiyo upper second, zari linaweza kukuangukia kwa jemaShukran mkuu,sema hayo masharti sio poa.upper second then wanataka fresh from school
Dah..mkuu hizo ngoja zinipite tuHahahahaaa, omba mkuu hata kama huna hiyo upper second, zari linaweza kukuangukia kwa jema
Wana uhaba wa watendaji, hizi nyomi zinahitaji wachakataji wa kutosha.Hili ni sahihi sana, ni wazi wameshindwa kutekeleza ahadi walizoahidi wateja wao.
Hahahahaa, omba Mungu usipate kashkash itakayokukwamisha, upo hatua za mwisho za kufunga mrija wa Asali, ukimaliza kaa kwenye kiyoyozi uanze kuifyonza Asali taratibu.Noma mkuu mwezi huu na miwili inayokuja inaweza kuisha kabisa bila shida na Bado tukawa mtaani tu duh process kubwa sana Yan ndo kwanza una lipoti makao makuu then wachakate ndo upangiwe kituo cha kazi dah[emoji23][emoji1787] mie interview ikijaa naenda kudadeki na placement nyingine ikitoka sijui itakuaje aiseee
Copy kibao za vyeti wanataka mia kasoro, mara hostiptal check up, nida copy,bank copy hahaahahahahhaa nimeenda kufanya check up Sina ugojwa namaliza process zote Nishapata ugojwa wa ulemavu wa miguu nimetembea mpka nimekoma
Hongera sana, huenda mlitia fora sana kwenye mahojianoMimi Round 1 tu na mimba ikatunga
Kwa hiyo unaamua hiyo buku ya barua uipangie matumizi mengine!!?[emoji3][emoji3]Dah..mkuu hizo ngoja zinipite tu
Mkuu,GPA ni lower second + sio fresh graduate. Hapo hata nikibeti siwezi itwaKwa hiyo unaamua hiyo buku ya barua uipangie matumizi mengine!!?[emoji3][emoji3]
Sawa mkuuMkuu,GPA ni lower second + sio fresh graduate. Hapo hata nikibeti siwezi itwa
Lazima watatoa tuHuu mwezi wasipotoa hii MIKEKA ya Usaili basi Hata sijui niseme nini..
USDM & SUA..
SUA mbona tayari hadi kureport washareportHuu mwezi wasipotoa hii MIKEKA ya Usaili basi Hata sijui niseme nini..
USDM & SUA..
Hata udsm tayari siku nyingiSUA mbona tayari hadi kureport washareport
Jamaa sije akawa amepishana na gari la mshahara.Hata udsm tayari siku nyingi
Ndio ninachokiona hapa kwa huyu mdauJamaa sije akawa amepishana na gari la mshahara.
Hahahaha ukute kachaguliwa halafu hana taarifa atalia na kusaga menoNdio ninachokiona hapa kwa huyu mdau
Ha ha ha.ngoja tumsikilize mkuuHahahaha ukute kachaguliwa halafu hana taarifa atalia na kusaga meno
Ha ha ha.ngoja tumsikilize mkuu