Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahahahahaaa, uliporudi PSRS niliwahi kugusia huu mchakato mrefu wa kusajiliwa kazini. Nilitolea mfano jamaa moja ninayemjua alienda kuchukua barua PSRS mwezi wa saba, alipoipeleka kwa mwajiri alikutana na hizo process, juzi kati wakati placement yenu inatoka ndio akapewa barua ya kwenda kuripoti kazini.

Tuendelee kufarijiana hapa mkuu, wewe unasubiri koki ya mrija wa asali ifungwe, wengine tunapambana kuipata koki ambapo tunaweza kuipata au tuikose
Vip wale wa bunge mkuu
 
Sina taarifa mkuu
Poa poa mkuuu ukiwa jobless unafanya vitu vingi vitu vikianza kutiki unaanza kuchanganyikiwa mfano baada ya kuona sipati kazi nikasema nirudi chuo mwaka huu Sasa hapa pia sielewi kama watakua hawajaniita sijui nikalipoti tu chuo mpka siku wakinitaa sijui nikaushe tu hahhahaa dah USHAURI HAPA
 
Poa poa mkuuu ukiwa jobless unafanya vitu vingi vitu vikianza kutiki unaanza kuchanganyikiwa mfano baada ya kuona sipati kazi nikasema nirudi chuo mwaka huu Sasa hapa pia sielewi kama watakua hawajaniita sijui nikalipoti tu chuo mpka siku wakinitaa sijui nikaushe tu hahhahaa dah USHAURI HAPA
Ulitaka ukasome Masters?
 
Ulitaka ukasome Masters?
Nina diploma tu mkuu Toka 2018 so nilitaka nikasome degree baada ya kuona ndo mwaka wa Mwisho huo kutoa mkopo kwa waliomaliza Miaka mitano nyuma so nikaona nipate hata Hela ya serikali 🤣🤣🤣🤣 then watanidai tu
 
Hizi za chuo nazo mbona wanadelay placement wakati wiki mbili tu zimebaki raia kurudi chuo

Sijui kwanini wanachelewesha hizi ajira za vyuoni aisee ?

Maana kuna watumishi wengine inabidi waanze masomo mara tu baada ya kuajiriwa (Tutorial assistants). Sasa ukiwapeleka kazini muda ambao mwaka wa masomo umeshaanza (dirisha la maombi ya masters limeshafungwa) unakua umewabana watu wa namna hii.

Mfano TA wa UDSM anataka akasome Masters SUA au UDOM, then hadi dirisha la udahili kwa level ya Masters katika hivyo vyuo linafungwa, huyu TA wa UDSM bado hajapatikana (hata interview tu bado, ukiachilia mbali placement).

Kwenye hili suala la ajira kuna kukurukakara nyingi sana.

Hii aione
Mwifwa pia.
 
Leo Kuna muda website ya utumishi ilikua nzito kufunguka nikajua huenda kuna kitu kinono kinapakiwa humo,ila sasa imekaa poa tu na hakuna lolote lililopakiwa.
 
Sijui kwanini wanachelewesha hizi ajira za vyuoni aisee ?
Maana kuna watumishi wengine inabidi waanze masomo mara tu baada ya kuajiriwa (Tutorial assistants). Sasa ukiwapeleka kazini muda ambao mwaka wa masomo umeshaanza (dirisha la maombi ya masters limeshafungwa) unakua umewabana watu wa namna hii.

Mfano TA wa UDSM anataka akasome Masters SUA au UDOM, then hadi dirisha la udahili kwa level ya Masters katika hivyo vyuo linafungwa, huyu TA wa UDSM bado hajapatikana (hata interview tu bado, ukiachilia mbali placement). Kwenye hili suala la ajira kuna kukurukakara nyingi sana.

Hii aione Mwifwa pia.
Yaani kila mara narefresh ile page 😂😂😂
 
20221209100540USAILI WA KUANDIKA.jpg


Ndugu zetu wakiwa kikaangoni
 
Poa poa mkuuu ukiwa jobless unafanya vitu vingi vitu vikianza kutiki unaanza kuchanganyikiwa mfano baada ya kuona sipati kazi nikasema nirudi chuo mwaka huu Sasa hapa pia sielewi kama watakua hawajaniita sijui nikalipoti tu chuo mpka siku wakinitaa sijui nikaushe tu hahhahaa dah USHAURI HAPA
Mkuu tulia kazi ushapata ondoa wasiwasi hiyo michakato ni ya kawaida sana,kuna jamaa yangu alikaa miezi 2 mtaa ndo akaenda kzini kwa hiyo tulia,isitoshe kwa wewe veta tegemea kuanza kazi rasmi january maana wanaenda kufunga vyuo,mwishoni mwa mwaka kwa hiyo januwry mtaanza nao wapya na wanaoemdelea kuwa mpole mkuu
 
Mkuu tulia kazi ushapata ondoa wasiwasi hiyo michakato ni ya kawaida sana,kuna jamaa yangu alikaa miezi 2 mtaa ndo akaenda kzini kwa hiyo tulia,isitoshe kwa wewe veta tegemea kuanza kazi rasmi january maana wanaenda kufunga vyuo,mwishoni mwa mwaka kwa hiyo januwry mtaanza nao wapya na wanaoemdelea kuwa mpole mkuu
Nishakua mpole mda tu mkuu wakishakamlisha utaratibu watanitafta
 
Ila wanachosha bna hawa PSRS
Kama vile kazi imewashinda
Sasa mfano mtu kashafanya oral inakuwaje tena placement zinachelewa
Wanakera sana
 
Naona wameweka Tangazo la kazi la NIT.. nafasi zinatangazwa upya.. Ila Leo wadau tusichoke kufikia jioni mpaka usiku kitaeleweka tu maana washaanza kustua mitambo Mchana huu
 
Naona wameweka Tangazo la kazi la NIT.. nafasi zinatangazwa upya.. Ila Leo wadau tusichoke kufikia jioni mpaka usiku kitaeleweka tu maana washaanza kustua mitambo Mchana huu
😂😂😂😂😂au sio?
 
Naona wameweka Tangazo la kazi la NIT.. nafasi zinatangazwa upya.. Ila Leo wadau tusichoke kufikia jioni mpaka usiku kitaeleweka tu maana washaanza kustua mitambo Mchana huu
Safi sana
 
Back
Top Bottom