Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Una exprience ya kufundisha?Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una exprience ya kufundisha?Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr
Yeah walipiNadhani walipita walikua wameshapigiwa simu kabla ya kupublish Kule kwenye website ya duce
May be kuna mdau alikua n experience zaidi ya kufndishaUna exprience ya kufundisha?
Hapa ndo ujue written na oral ni idara 2 tofauti😃😃😃Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr
May be kuna mdau alikua n experience zaidi ya kufndisha
Anza mbio zingine, hizo zimeishia sakafuniShukran sana mkuu japo kwa kada yangu tofauti na tutorial assistant nafasi zingine za kawaida huwa ni ngumu kutoka utumishi
Unanicheka mkuuHapa ndo ujue written na oral ni idara 2 tofauti😃😃😃
Pole sana mkuu
Hapo mzee ndo ulipopigwa baoApo umenikumbusha kuna mdau alikua na masters kabisa na anafundisha chuo Fulani nahisi experience ilimbeba
Hapana mkuu haya mambo hayana mwenyewe tuendelee kujifunza zaidi ila nafasi ya mtu huwa inazingua mno wanne kwa mmoja si mchezo, Mungu yupo nafasi zetu zipoUnanicheka mkuu
Alaf mkuu kuna kitu nashindwa kukielewa utumishi ivi mtu wa masters anaombaje kazi za degree za tutorial assistant then kwenye assistant lecturer unamkuta shida huwa ni nn??Hapo mzee ndo ulipopigwa bao
Huyo jamaa kweny Ass. Lecturer amefnya pia?Alaf mkuu kuna kitu nashindwa kukielewa utumishi ivi mtu wa masters anaombaje kazi za degree za tutorial assistant then kwenye assistant lecturer unamkuta shida huwa ni nn??
Hvi mfumo haumchuji mwenye masters kama nafasi ya degree?Huyo jamaa kweny Ass. Lecturer amefnya pia?
Hvi mfumo haumchuji mwenye masters kama nafasi ya degree?Huyo jamaa kweny Ass. Lecturer amefnya pia?
Ninavyojua mfumo unazuia mtu wa degree kuomba kz za diploma,kwenye masters sina uhakikaHvi mfumo haumchuji mwenye masters kama nafasi ya degree?
Kama hauchuji kuna uwezekano mtu akaomba kazi za diploma huku ana degree
Yupo tena mkuuHuyo jamaa kweny Ass. Lecturer amefnya pia?
Udsm unapewa miaka 2 tuLabda kwa vyuo ambavyo wanatoa kozi ngazi ya diploma (maana utakua unafundisha madogo wa diploma na hiyo bachelor yako). Vinginevyo wakikusaidia sana wanakupa mwaka mmoja tu, uwe umeanza kusoma masters
Hebu chungulia PMHahahahaa sawa mkuu.
Mimi naichungulia kila muda zaidi ya wanaosubiri placements
KweliIn addition to this, pia kuna ma tutorial assistants kwenye taasisi za elimu ya juu zisizokua vyuo vikuu ambao wanafundisha diploma.
Mifano ya taasisi hizi ni:-
NIT, DMI, ATC, CBE, IFM, CAWM, DIT, etc. Hawa hawatumii "ma tutors".
Na hata initial za salary zao zinatofautiana vyuo vikuu kama IDSM, SUA, MUST nk wanatumia PUTS ila kwenye taasisi za elimu ya juu mfano NIT, IFM nk wanatumia PHTS.In addition to this, pia kuna ma tutorial assistants kwenye taasisi za elimu ya juu zisizokua vyuo vikuu ambao wanafundisha diploma.
Mifano ya taasisi hizi ni:-
NIT, DMI, ATC, CBE, IFM, CAWM, DIT, etc. Hawa hawatumii "ma tutors".