Tuombe Mungu atupatie hizi kwanza wazee tutapata tu tuwe na imaniHapo ndo ICT inakuja kuwa complicated sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe Mungu atupatie hizi kwanza wazee tutapata tu tuwe na imaniHapo ndo ICT inakuja kuwa complicated sana
Acha t kk ICT pagumuHapo ndo ICT inakuja kuwa complicated sana
Njia itapatikana tu mzee we soma kwanzaIncase hawa jamaa wa NAOT ASA na MDA&LGS wakatoa mkeka wa usaili .sijui itakuaje wakuu nauli nimeitumia kwenye ishu za kitaa.maana sio kwa msoto uliopo huku.
🤲🤲Tuombe Mungu atupatie hizi kwanza wazee tutapata tu tuwe na imani
HakikaTuombe Mungu atupatie hizi kwanza wazee tutapata tu tuwe na imani
Wameweka wapi mkuuWameweka nafasi za cereals board.
Ingia kwenye akaunti yako utaona pale vacancy ila pdf bado halijawekwaWameweka wapi mkuu
Naona labda zingine badoIngia kwenye akaunti yako utaona pale vacancy ila pdf bado halijawekwa
Pole sana msaka mrija wa Asali.Incase hawa jamaa wa NAOT ASA na MDA&LGS wakatoa mkeka wa usaili .sijui itakuaje wakuu nauli nimeitumia kwenye ishu za kitaa.maana sio kwa msoto uliopo huku.
Nimeona, kazi kwenu wahusika pambanieni mrijaIngia kwenye akaunti yako utaona pale vacancy ila pdf bado halijawekwa
Umeelewa kilichoandikwa kweli?Nawwe umeitwa??
Nilidhani wameitwa kwenye interview lakini nimeshaelewa mkuu 😂😂😂😂😂😂Sema kiongozi unanifokea jobless au sioUmeelewa kilichoandikwa kweli?
🤣🤣🤣🤣Nilidhani wameitwa kwenye interview lakini nimeshaelewa mkuu 😂😂😂😂😂😂Sema kiongozi unanifokea jobless au sio
Jobless asahau kuheshimika aiseeNilidhani wameitwa kwenye interview lakini nimeshaelewa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema kiongozi unanifokea jobless au sio
Hujafokewa mkuuNilidhani wameitwa kwenye interview lakini nimeshaelewa mkuu 😂😂😂😂😂😂Sema kiongozi unanifokea jobless au sio
😂😂😂😂hahhhhh daaaah tuendelee kuishiJobless asahau kuheshimika aisee
😂😂😂Pamoja kiongoziHujafokewa mkuu
😂😂😂 Jobless nimeona kama nimefokewa hahhhh🤣🤣🤣🤣
Yale maswali ya security yamenikanda utasema sijasoma security aiseeNo security