Sys-root
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 365
- 548
Hahaha au linux ya chanemoMsuli ntakaoupiga ni kama wa kuchomoa sup ya data mining
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha au linux ya chanemoMsuli ntakaoupiga ni kama wa kuchomoa sup ya data mining
Na iddy ahahahahHahaha au linux ya chanemo
Hahah hatari aiseeNa iddy ahahahah
Securty n system admn zinaendana sidhn kama unaeza fit kweny databaseLakn ukiangalia security na admin wote prac wanapigaga linux sa sijajua kama mtu wa system admin anaweza pelekwa lets say database au business analyst
Kweli hata interview zao zinalingana sanaSecurty n system admn zinaendana sidhn kama unaeza fit kweny database
Ega wanatakaga watu smart sana hope mzee utachukua post 1 hapo👊Hapa nikupambana tu mi mwenyew nikikandwa hz post naanza kusoma upya
Inshallah mwenyezi Mungu afanye uwepesiEga wanatakaga watu smart sana hope mzee utachukua post 1 hapo👊
Walikuwa wanataka watu wangapi kwenye post yako?Inshallah mwenyezi Mungu afanye uwepesi
WawiliWalikuwa wanataka watu wangapi kwenye post yako?
Oral tuliingia 12 kwahyo ni 6 ratio 1Walikuwa wanataka watu wangapi kwenye post yako?
Usjl mkuu kama rizik yko unapta chap ukikosa uskate tamaaOral tuliingia 12 kwahyo ni 6 ratio 1
Honger mzee kufika oral ICT sio kz ndogoOral tuliingia 12 kwahyo ni 6 ratio 1
Tuombe Mungu tu mzee hakuna kinachoshindikana huwa naamini kama nafasi ni yako hata kama mpo mia unapata tuOral tuliingia 12 kwahyo ni 6 ratio 1
Wawili wengi sana unapata amini tuWawili
Inshallah cha msingi kuomba Mungu afungue rizikiUsjl mkuu kama rizik yko unapta chap ukikosa uskate tamaa
AminaWawili wengi sana unapata amini tu
Watoe hata placements basi tuijadili na kujifariji, mara paap mwezi unaisha, sio kama hivi ilivyo kimyaMaana yake kwa sasa hakuna mikando
Mwezi umepoa Hadi unaona siku zimegandaWatoe hata placements basi tuijadili na kujifariji, mara paap mwezi unaisha, sio kama hivi ilivyo kimya
😂😂😂😂😂Watoe tuanze kuwajadili hahhhWatoe hata placements basi tuijadili na kujifariji, mara paap mwezi unaisha, sio kama hivi ilivyo kimya
😂😂😂😂Hatujawazoea hivi utumishi tunataka watoe wakande watu waje huku tupeane pole hahhhMwezi umepoa Hadi unaona siku zimeganda