Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Lakn ukiangalia security na admin wote prac wanapigaga linux sa sijajua kama mtu wa system admin anaweza pelekwa lets say database au business analyst
Securty n system admn zinaendana sidhn kama unaeza fit kweny database
 
Back
Top Bottom