Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oral tuliingia 12 kwahyo ni 6 ratio 1
Daaahh, hapa ndio huwa tunasema hizi selected for oral ni kwa utashi wa mtu tu.

Written yangu ya mwisho ilihitaji watu wawili, wakaitwa watu 8 tu, hadi namba kumi na 13 tulipiga zaidi ya 50 ila tukatemwa.

Wangechukua kwa ratio hii(1: 6) ningeiona oral ya kwanza
 
Saizi kidogo wanaleta matumaini kunaweza tokea lolote Kwenye akaunti yetu pendwa majobless
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna pisi yangu ilinitema kisa shekeri(mali za kaisari) niliona tu nikipiga simu nafokewa kama mtoto sijakaa vizuri akaolewa kabisa hahhhh

Hahaha, kwa uzoefu wangu endapo napata nafasi ya kumshauri kijana yeyote, kama suala la pesa haliko la uhakika kwake basi ajitahidi kutokuwa serious na mapenzi, yatamtesa sana mpaka atawachukia wanawake.
 
Daaahh, hapa ndio huwa tunasema hizi selected for oral ni kwa utashi wa mtu tu.

Written yangu ya mwisho ilihitaji watu wawili, wakaitwa watu 8 tu, hadi namba kumi na 13 tulipiga zaidi ya 50 ila tukatemwa.

Wangechukua kwa ratio hii(1: 6) ningeiona oral ya kwanza
Ss tulipiga na practical
 
Back
Top Bottom